Natangaza nampenda "Smile"

Natangaza nampenda "Smile"

oooh darlin,
Umeleta kwangu mwanga,
wengine nawaona wanga,
maisha sote tumeyapanga,
Naahidi kutoyakaanga.

Tumkaribishe kwetu Bishanga,
Wazushi wengine kama akina Kongosho, Smile na Asprin..wote tuwakimbize kwa mapanga!!
Wow!!!
Huby wewe kwangu ni dhahabu,
kukutii ni wangu wajibu,
Wanga vyao visebu sebu,
na vijiba vya roho bila sababu,
watakufa bila kupata majibu,
sie kwa raha zetu hatutaki gubu.

Ni furaha bishanga kukaribia kwetu,
Ujio wake nyoyo zetu kwatu,
Wazushi watajibeba na roho zao zenye magutu!!!
 
Ni Mapenzi tu kwa Cantalisia yamekolea...

Wow!!!
Huby wewe kwangu ni dhahabu,
kukutii ni wangu wajibu,
Wanga vyao visebu sebu,
na vijiba vya roho bila sababu,
watakufa bila kupata majibu,
sie kwa raha zetu hatutaki gubu.

Ni furaha bishanga kukaribia kwetu,
Ujio wake nyoyo zetu kwatu,
Wazushi watajibeba na roho zao zenye magutu!!!

Honey,
Ni lazima nilikoleze,
Nikupigie mpaka zeze,
Moyo wako niutulize,
Mwingine usimuwaze!

:lalala:
 
Hivi na mie naweza kupata mtu huku Chit-Chat?
Karibu Ritz,
Ww tu na roho yako,
Km kuna mtu unamzimia unajitosa kutangaza nia tu,
Km sera zako simesimama unajipatia mtu bila tabu,
Si unaona rejao keshaniopoa,hahaha!
 
Aiseee mm nimpendae hapa nikimtaja naweza pata Ban mana nasikia Mods nae anafukuzia mtoto.
Ya nn nile Ban? Acha nikaushe tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom