Mie si mlafi wa pesa, labda mnitege kwenye kaptura na sketi, ndo maana utoh hawezi nikamata labda takukuru.
Ukija kuomba uhamisho wa kazi, umerambwa, kama yule wa Mwanza aloshikwa juzi.
Nampendekeza Cantalisia ateuliwe wizara ya habari zisizo rasmi (umbea) na utani! Nadhani huyu mmama anatosha ktk nafasi hii!
Mie si mlafi wa pesa, labda mnitege kwenye kaptura na sketi, ndo maana utoh hawezi nikamata labda takukuru.
Ukija kuomba uhamisho wa kazi, umerambwa, kama yule wa Mwanza aloshikwa juzi.
hahahaa SALOK umemuua shemeji yangu aisee lol hii wizara itamfaa maana nayeye Cantalisia ni mpana km mbuyu
naona unafiti fresh inaonesha we ni mchapa kazi! We wakague mawaziri wote..me nipo zangu safarini nje ya nchi
Hahahahaaa inasuasua sana ingawa bado ipo ila ya nitonye na sweetlady ndio inapotea potea baada ya klorokwini kutangaza kwenda Big Braza na sweetlady na yeye SL kukubali kwa furaha bila kujua yeye ni mke wa mtu
Ambitious utashangaa akifanya re-cycling/shuffle unatupwa nje kama nanii lolMUSSOLIN mkuu ondoa shaka wewe safiri tu kapige picha ulaya usiwe na wasiwasi nchi iko kwenye auto-pilot mode.
Mimi ntawashughulikia watakaojifanya wanajua kula kodi za walala hoi.Ukirudi unafanya re-cycling/shuffle ya baraza mambo yanasonga hakiharibiki kitu hapa.
Mh sijajua ni nani...Hivi bibikiroboto wetu humu kule mjengoni ni nani jamani?
Ambitious, ujue idogi kwa kihehe ni maharage?
Unamaanisha nimekuwa maharage?
Hii serikali ya wachapakazi tu