gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
du! Hapana jamani mimi sitaiweza, nitaftie nyingine,hii mpe rejao naamini ndani ya wiki 2 robo 3 ya wana jf tutakua tushakula ban.
Kwa hiyo hayo ndiyo maendeleo au..!
du! Hapana jamani mimi sitaiweza, nitaftie nyingine,hii mpe rejao naamini ndani ya wiki 2 robo 3 ya wana jf tutakua tushakula ban.
ndo kazi ya magambaKwa hiyo hayo ndiyo maendeleo au..!
Angel umeridhika na wizara yako?MZIZIMKAVU waziri wa afya, KONGOSHO waziri asiye na wizara maalum, LIZZY waziri wa jinsia na watoto
Nampendekeza Cantalisia ateuliwe wizara ya habari zisizo rasmi (umbea) na utani! Nadhani huyu mmama anatosha ktk nafasi hii!
Na Kongosho bila kukwapua ataweza?