waziri wa fedha BADILI TABIA, mnatakiwa kuwasilisha kwake michango yenu ya changia jf mara baada ha uteuzi huu......loh
we utakuwa katibu mkuu wizara ya nishati na madini (kwa jairo)
mbona unaleta ufisadi mapemaaaaaaaa
...teheee! Udhuria zaidi pale kwa mkuu um'bebee begi. ila upende kuhudhuria misiba na kicheni pati.
naomba kwanza CV yako kabla sijafanya uteuzi??