idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,300
- 38,450
Kwa sasa hivi bure....sijui huko mbele kama watabadilisha utaratibu.
Kwa sasa hivi bure....sijui huko mbele kama watabadilisha utaratibu.
Mkuu msaada hizi link zote zinagoma kwenye tecno yanguusitumie Opera, download kwa kutumia browser nyingine
Mkuu msaada hizi link zote zinagoma kwenye tecno yangu
Chanel gani zinapitakana za sports ambazo unaweza view epl or laliga or seria ADownload Hapa
Asante kwa mrejesho mkuu ila na hii pia haijafanikisha ni tecno y4 hii apply nilikuwa nayo kwenye simu Yangu hii ila baada kutoa memory card nayo ikatoka sasa kila nikijaribu kuinstall tena inagoma.Download Hapa
Unapo-download inasemaje?Asante kwa mrejesho mkuu ila na hii pia haijafanikisha ni tecno y4 hii apply nilikuwa nayo kwenye simu Yangu hii ila baada kutoa memory card nayo ikatoka sasa kila nikijaribu kuinstall tena inagoma.
Unapo-download inasemaje?
Baada ya kudownload, nenda kwenye file manager, fungua file ambalo vitu ulivyo download vinajihifadhi kisha bonyeza Online Tv.View attachment 610804 Hilo la juu ambalo ni la on line TV Na nikilifungua linasema can't open file Lakini hayo ya manne yanakubali ukifungua
hii online tv yenu mkajipange upya maana niliipakua miezi miwili imepita nikaitoa baadaye! list ya tv ni ndeeefu lakini unakuta inayoonesha ni moja tu mbili na hizo zinazoonesha ni mikwamo mtindo mmoja! aargrrrBaada ya kudownload, nenda kwenye file manager, fungua file ambalo vitu ulivyo download vinajihifadhi kisha bonyeza Online Tv.
Ila ni kweli usemacho na redio nyingi hazipohii online tv yenu mkajipange upya maana niliipakua miezi miwili imepita nikaitoa baadaye! list ya tv ni ndeeefu lakini unakuta inayoonesha ni moja tu mbili na hizo zinazoonesha ni mikwamo mtindo mmoja! aargrrr
Mkuu salama? Niliwahi kuwa nayo lkn nilifomat kimeo changu.Baada ya kudownload, nenda kwenye file manager, fungua file ambalo vitu ulivyo download vinajihifadhi kisha bonyeza Online Tv.
Lakini huyu hamiliki kituo cha television wala cha radio ila anakurahishia kupata huduma iwapo wenye umiliki wataachia matangazo yapatikane bure online ndo maana naye anakuletea bure maana anajua yeye siyo mmiliki japo wengine wanauza.Ila ni kweli usemacho na redio nyingi hazipo
Tumia link hii kudownload https://bit.ly/2hK6MZEMkuu salama? Niliwahi kuwa nayo lkn nilifomat kimeo changu.
Sasa leo nimejaribu inaniletea hii kitu. Mwongozo yafadhali.
.![]()
kwenye toleo jipya ambalo linapatikana kwa link hii https://bit.ly/2hK6MZE tumerekebishahii online tv yenu mkajipange upya maana niliipakua miezi miwili imepita nikaitoa baadaye! list ya tv ni ndeeefu lakini unakuta inayoonesha ni moja tu mbili na hizo zinazoonesha ni mikwamo mtindo mmoja! aargrrr
Aksante sana imekubali. Lkn nilipojaribu sports channel, imenitaka, haya.Tumia link hii kudownload https://bit.ly/2hK6MZE
Hongera sanakwenye toleo jipya ambalo linapatikana kwa link hii https://bit.ly/2hK6MZE tumerekebisha
Download kwa kutumia link hii https://bit.ly/2hK6MZE haitakudai User name, kwa kila sehemu itakayokudai user name maana yake ni kwamba tumeifunga kwa muda kwaajili ya marekebishoHapo penye user name naandika jina gani?
Mkuu ni vema kurudisha mrejeshoDownload kwa kutumia link hii https://bit.ly/2hK6MZE haitakudai User name, kwa kila sehemu itakayokudai user name maana yake ni kwamba tumeifunga kwa muda kwaajili ya marekebisho