Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,580
- 2,001
OK, kwa hyo hats hizo Chanel mnajua kuwa haziplay?Ni kweli kwa sasa haipatikani, ila ni kwa muda tu, tunaifanyia marekebisho
OK, kwa hyo hats hizo Chanel mnajua kuwa haziplay?Ni kweli kwa sasa haipatikani, ila ni kwa muda tu, tunaifanyia marekebisho
Ndio tumeona hilo tazizo litarekebishwa. UsijaliOK, kwa hyo hats hizo Chanel mnajua kuwa haziplay?
Gud job... Wakuu....Ndio tumeona hilo tazizo litarekebishwa. Usijali
Mkuu, azam hawawezi kuwachukulia hatua???. Au wameruhusu watu watazame online????Jamani kwa heshima na unyenyekevu mwingi, nimetengeneza application ya kutazama live Tv online lakini bado sijaiweka Play store kwa hiyo unaweza ukaidownload kwa kubonyeza link hiyo chini, Kuna channel zaidi ya 20, zikiwemo azam one,azam two,Azam sports HD, Super Sport 1,2,3, na nyingine nyingi, unapo-install itabidi uruhusu instalation from unknown sources, kwa kuwa haijawekwa bado play store na pia maboresho yanaendelea Download Online Tv
Hata mimi sijajua hapa sheria inasemaje?Mkuu, azam hawawezi kuwachukulia hatua???. Au wameruhusu watu watazame online????
Muweke na sinema zetu na itvNdio tumeona hilo tazizo litarekebishwa. Usijali
Nijuavyo mkuu, hyo ndyo faida ya technology, azam ninawatazama kabla ya hii app, isipokuwa Itv, TBC ndo hazipo, lakn wazee Wa burudan wapo...Mkuu, azam hawawezi kuwachukulia hatua???. Au wameruhusu watu watazame online????
Sheria za nn mkuu piga kmya weka bundle pata rahaHata mimi sijajua hapa sheria inasemaje?
Jamani hiyo link iliyowekwa mbona kama haiko active?Kwangu hata hz azam zinaonyesha kwa vipindi,muda mwingine azifunguki,yote kwa yote mkuu ametufanyia jambo la maana sana,anastahili pongezi
Mi nimeijaribu kui download imegoma kabisa cjui kwa nnJamani hiyo link iliyowekwa mbona kama haiko active?
Cheki attachment hapo nyuma uitumie hiyo kupata hiyo huduma mkuuMi nimeijaribu kui download imegoma kabisa cjui kwa nn
Download hii attachmentNajaribu ku crick link lakin haifunguki wadau nifanyajeee apoo
Acha chuki za kijinga kama wewe haikufai kaa kimya kwani tumiziona juhudi nzuri za Mtanzania mwenzetu na tunaendelea kumuunga mkono.Wewe nenda katafute za Wabunge zinazokufaa.Ya kijinga kama apps nyingine za ku stream, hata usisumbuke kupoteza mda wako ku download. Server zao zinazidiwa like every fucken minute hazifai kabisa hasa kwa wapenzi wa mpira