sungura1980
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,909
- 1,225
natamani niwe natamani lakini siwezi kutamani tena. nilitamani mke wa askari magereza nikaishia kupata kichapo heavy.
kwani ni lazima au inauharaka..subiri mpaka ukiwa nazonataman kuoa ila sina hela ya posa
sina raha kabisa kwa hili
kwani ni lazima au inauharaka..subiri mpaka ukiwa nazo
Natamani kusafiri to a location i will describe later.....
kwanini ukasirikie maisha yako?...furahia maisha yako sababu wewe ni wewe na unaweza ukayaendesha wewe.....mengine usilazimishe just wait for the right time....eti! eeh! Ahsante sana mkuu
hii hali inanitesa sana , nimekuwa mtu wa kukasirika mara kwa mara!
Natamani mengi sana .....
Bora uje tushare haya labda yatapungua mawazo kichwani ....oooh we can share hayo mawazo as friends
nije tushare wote
umeamkeje lakin best
Anza kuweka wewe basiMimi natamani kila mwana JF akichangia picha yake halisi ionekane kwenye screen, nimechoka na hizi avatar za uongo...
Bora uje tushare haya labda yatapungua mawazo kichwani ....
Am gud darling, vipi na wewe?uko poa?