Natamani .........

Natamani .........

saa zingine tujaribu kuwa wastaarabu na kuheshimu shida na matatizo ya wengine..kama wewe umeshajaaliwa mshukuru M/Mungu wako na utuache wengine wenye tamanio hilo tuendelee kumuomba yeye huyo huyo aliyekupa wewe....mshukuru sana.
Ninae hapa njoo umchukue....
 
saa zingine tujaribu kuwa wastaarabu na kuheshimu shida na matatizo ya wengine..kama wewe umeshajaaliwa mshukuru M/Mungu wako na utuache wengine wenye tamanio hilo tuendelee kumuomba yeye huyo huyo aliyekupa wewe....mshukuru sana.
Ungeelewa vizuri wala usingesumbuka kuandika maelezo yoote hayo. Nadhani wakubwa kama a.rahabu walinielewa.... hahahaaaaaaaaaaa...
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom