Yeah ni kweli labda kwa sasa inaeza kuwa na quality....me nyimbo nilikuwa na connect kwenye amplifier kwa kutumia samsung galaxy pocket ina sound poa saNimewahi kusoma sehemu kuwa wireless haina ubora kama kutumia wire yenyewe.
Mfano ukiunganisha spika na simu kwa kutumia wire, nyimbo inakuwa vizuri zaidi kuliku ukiunganisha kwa wireless.
Mimi siyo mtaalamu pande hizo nimegusa tu nilichosoma sehemu.
Chief-Mkwawa