Natamani simu kali zisiwekwe kioo mbele na nyuma

Mfano simu kama hizi mbona zilikua nzuri sana na hazikua na glass. Hizi material nilidhani wangeendelea nazo maana hazipasuki, hazishiki fingerprint na pia simu haitelezi iwe mkononi au mezani.

Screenshot_20211025-093753_Chrome.jpg


Screenshot_20211025-093507_Chrome.jpg
 
Ni kweli mkuu hata Charger wireless hazifikii waya na umeme mwingi unapotea. Mfano charger ya waya asilimia 98 inaweza ingia kwenye simu na 2 ukapoteza, wakati Wireless tunaongelea 30 mpaka 80, hivyo umeme wa kuchaji simu 3 unaweza tumika kuchaji simu moja.

Same kwa earphone bluetooth ina bandwidth ndogo ili usikilize mziki quality inabidi compression ifanyike na compression inapunguza Quality. Hizi True Wireless Earbuds haziplay Lossless Audio unatoa Laki kadhaa hadi millioni wakati Earphone kali za waya pengine ukatoa laki ama chini ya hapo ukapata quality kali sana, na wired zipo simu nyingi zinakuja na DaC ya maana.
Mbishe msibishe wireless ndo uelekeo wa dunia na perfections zinafanyika, ckuiz simu kama oneplus 9 unacharg wirelessly na cm inajaa baada ya dk45, hivyohvyo kila gar linalotoka miaka hii la kisasa lazma liwe na wireless charger
 
Mfano simu kama hizi mbona zilikua nzuri sana na hazikua na glass. Hizi material nilidhani wangeendelea nazo maana hazipasuki, hazishiki fingerprint na pia simu haitelezi iwe mkononi au mezani.

View attachment 1986197

View attachment 1986199
Glass is more premium than metal, thats the fact, fingerprints zinazuiwa kwa mate finish, conecctivity ya glass ni powerfull kulko metal, ata plastic inaishinda metal kwa conectivity(you cant argue with phisics)
All in all mambo ya kupasuka na kuharibika hyo kwao wanachukulia kama advantage kwao, more money, na kuteleza simu za mate finish huwa hazitelezi na hazishiki fingerprint kiivyo
 
Ndio hapo sasa unajiuliza kama simu inawekwa glass back ili ivutie, lakini ili uitumie inabidi uweke plastic cover, sasa hiyo glass back itavutia vipi ilhali ipo ndani ya cover? Wizi tu..
Nadhani kama mtu una access ya kupata vitu original vya simu husika na mafundi bora huna haja ya kuweka back cover,tatizo bongo ukishavunja simu kama ni kioo cha mbele au cha nyuma kukipata chenyewe ni ngumu hata ukiagiza duniani huko kikaja mafundi wengi wanabahatisha na ni wababaishaji.
 
Mbishe msibishe wireless ndo uelekeo wa dunia na perfections zinafanyika, ckuiz simu kama oneplus 9 unacharg wirelessly na cm inajaa baada ya dk45, hivyohvyo kila gar linalotoka miaka hii la kisasa lazma liwe na wireless charger
Hakuna anekataa ila ni inferior, umewahi tumia hio wireless charging?
1.ina waste umeme sana
2. Simu inapata joto balaa, unacharge slow na joto jingi mwisho wa siku na battery nayo inakufa mapema. Inafika stage inabidi zije na feni
3. Charger zake bei ghali hizo za kichina za kina oneplus ni zaidi ya 150,000

Hivyo pengine miaka 10 ijayo zikawa zipo vizuri ila kwa sasa bado haijafikia Level ya wired.
 
Nadhani kama mtu una access ya kupata vitu original vya simu husika na mafundi bora huna haja ya kuweka back cover,tatizo bongo ukishavunja simu kama ni kioo cha mbele au cha nyuma kukipata chenyewe ni ngumu hata ukiagiza duniani huko kikaja mafundi wengi wanabahatisha na ni wababaishaji.
Bei za vioo vya nyuma OG inafika hadi laki 2 na upuuzi. Inahitaji moyo kununua OG kwa kitu ambacho hakiongezi functionality yoyote zaidi ya urembo tu.
 
Mbishe msibishe wireless ndo uelekeo wa dunia na perfections zinafanyika, ckuiz simu kama oneplus 9 unacharg wirelessly na cm inajaa baada ya dk45, hivyohvyo kila gar linalotoka miaka hii la kisasa lazma liwe na wireless charger
Hatujabisha.

Unajua kuna teknolojia nyingine hua tunazipokea tu kwavile ni teknolojia mpya, ila unakuta hazina umuhimu kivile ukilinganisha na teknolojia iliyopo.

Mfano hii wireless charging haina ubora wowote ukilinganisha na wired charging. Ukiweka simu kwenye wireless charging pad huwezi kuitumia kama vile unavyotumia simu ikiwa kwenye charging cable, sema ndio ivyo imeshakuja teknolojia na wenyewe wanai push utafanyaje sasa.
 
Nadhani kama mtu una access ya kupata vitu original vya simu husika na mafundi bora huna haja ya kuweka back cover,tatizo bongo ukishavunja simu kama ni kioo cha mbele au cha nyuma kukipata chenyewe ni ngumu hata ukiagiza duniani huko kikaja mafundi wengi wanabahatisha na ni wababaishaji.
Kuna simu zikipasuka kioo cha mbele ni bora ununue simu mpya utaipata kwa bei ndogo kuliko hicho kioo 😄😄
 
Hata mimi sipendi kabisa makava, sema ndio hivyo simu ninazopendelea kutumia zina kioo kwa nyuma...sababu ya kuteleza nakuwa sina namna.
Kama wewe sio mtu wa kuangusha angusha simu badala ya kuweka cover unaweza kuweka "skin" ambazo zenyewe ni kama sticker nyembamba zinasaidia simu isiteleze ila hazizuii isipasuke. Pia kama kioo cha nyuma kimepasuka unaweza kubandika hizi ili kuficha.

Screenshot_20211025-184250_Chrome.jpg
 
Kama wewe sio mtu wa kuangusha angusha simu badala ya kuweka cover unaweza kuweka "skin" ambazo zenyewe ni kama sticker nyembamba zinasaidia simu isiteleze ila hazizuii isipasuke. Pia kama kioo cha nyuma kimepasuka unaweza kubandika hizi ili kuficha.

View attachment 1986609
Ngoja nizitafute hizo nahisi zinaweza kuwa bora kwangu kuliko makava yanayoongeza ukubwa wa simu
 
Hatujabisha.

Unajua kuna teknolojia nyingine hua tunazipokea tu kwavile ni teknolojia mpya, ila unakuta hazina umuhimu kivile ukilinganisha na teknolojia iliyopo.

Mfano hii wireless charging haina ubora wowote ukilinganisha na wired charging. Ukiweka simu kwenye wireless charging pad huwezi kuitumia kama vile unavyotumia simu ikiwa kwenye charging cable, sema ndio ivyo imeshakuja teknolojia na wenyewe wanai push utafanyaje sasa.
Advantage ya wireless ni kubwa kurko wired na durability ni kubwa, kwa wanaonunua simu unique wanajua hili
 
Binafsi mm ni mpenzi wa back glass kuliko plastic..1st back glass feels more premium than plastic...2nd plastic inapata scratches easily kuliko glass...kwa upande mwengine nna miaka 2 simu yangu haina protector wala cover na still my phone iko safe with back glass...by the way siwezi nunua flagship eg s21 or s21plus zenye plastic back never never!

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
 
Binafsi mm ni mpenzi wa back glass kuliko plastic..1st back glass feels more premium than plastic...2nd plastic inapata scratches easily kuliko glass...kwa upande mwengine nna miaka 2 simu yangu haina protector wala cover na still my phone iko safe with back glass...by the way siwezi nunua flagship eg s21 or s21plus zenye plastic back never never!

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Polycarbonate ni almost haina scratch na ikipata zinakuwa sio visible.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom