Natamani sana kuongea kingereza

Natamani sana kuongea kingereza

ndihe

Member
Joined
Sep 26, 2017
Posts
19
Reaction score
9
Nahitaji kujua kingereza cha kuongea mwenye kujua chuo ambacho naweza kusoma ndani ya mwezi 1 anisaidie umri wangu ni 45yrs
 
Kiswahili chenyewe bado hujakijua kiingereza si itakuwa tatizo kubwa.
 
Nahitaji kujua kingereza cha kuongea mwenye kujua chuo ambacho naweza kusoma ndani ya mwezi 1 anisaidie umri wangu ni 45yrs
Kingeteza ndio lugha ya nchi/kabila gani?
 
Njia rahisi ya kujua lugha yoyote ni kujifunza kama mtoto.. hakuna kwenda darasani wala kujifunza zile sheria sijui na aina za maneno.. fungua channel za kiingereza za tv, sikiliza redio channel za kimombo, fanya mazoezi ya kuongea na mtu ambaye unajua anaweza kuongea, usiogope kukosea, ukikosea unarekebishwa unajaribu kunyosha tena..practice, practice, practice...baadae unaweza kabisa.. huko darasani utapoteza hela yako.. tena na wewe unaweza kusoma hapo una faida pia ya kuweza kujua zaidi na mapema.. sasa ukianza kwenda kujifunza nouns, sijui verbds, parts of speech sijui grammer rules utachelewa sana... ni sawa na mtu anaetaka kujifunza muziki kupiga chimbo fulani,,unaanza kwenda kusoma vile virungu virungu vya notation wakati kitaa mtu anakufundisha vizuri na unamudu
 
Nahitaji kujua kingereza cha kuongea mwenye kujua chuo ambacho naweza kusoma ndani ya mwezi 1 anisaidie umri wangu ni 45yrs
Anza tu kuzungumza broken ila jiamini utaweza si unamuona diamond anavyozungumza vizuri sasa.
Ila kabla ya kuanza hiyo course mwambie mwalimu akutofautishie kati ya hivi
Your na you are/you're
I am/I'm na Am
Hili ni tatizo kubwa kwa watu wengi hata wanaojinasibu kujua kingereza wanatumia vibaya
 
Njia rahisi ya kujua lugha yoyote ni kujifunza kama mtoto.. hakuna kwenda darasani wala kujifunza zile sheria sijui na aina za maneno.. fungua channel za kiingereza za tv, sikiliza redio channel za kimombo, fanya mazoezi ya kuongea na mtu ambaye unajua anaweza kuongea, usiogope kukosea, ukikosea unarekebishwa unajaribu kunyosha tena..practice, practice, practice...baadae unaweza kabisa.. huko darasani utapoteza hela yako.. tena na wewe unaweza kusoma hapo una faida pia ya kuweza kujua zaidi na mapema.. sasa ukianza kwenda kujifunza nouns, sijui verbds, parts of speech sijui grammer rules utachelewa sana... ni sawa na mtu anaetaka kujifunza muziki kupiga chimbo fulani,,unaanza kwenda kusoma vile virungu virungu vya notation wakati kitaa mtu anakufundisha vizuri na unamudu
Nashukuru kwa ushauri wako ila bado cjajua ni channel gani ambazo zinaweza kunisaidia pia cna mtu karibu ambae angalau anafahamu vizuri
 
Anza tu kuzungumza broken ila jiamini utaweza si unamuona diamond anavyozungumza vizuri sasa.
Ila kabla ya kuanza hiyo course mwambie mwalimu akutofautishie kati ya hivi
Your na you are/you're
I am/I'm na Am
Hili ni tatizo kubwa kwa watu wengi hata wanaojinasibu kujua kingereza wanatumia vibaya
Ahsante
 
Usiumize kichwa kama unajua yes na no inatosha mengine mbwembwe tu utayajulia uzeeni
 
Back
Top Bottom