Chuo bora kusoma Masters katika fani ya Mazingira

Chuo bora kusoma Masters katika fani ya Mazingira

sixlove

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
579
Reaction score
414
Habari ndugu zangu.

Naomba ushauri wa chuo bora kusoma Masters katika fani ya Mazingira, au waste management na course ipi nzuri ukiachana na Environment Management, Disaster management na climate change. So far nina Bachelor ya Environmental Planning and Management kutoka IRDP.

Binafsi huwa napenda sana kusoma Public Health lakini kwa consultation ambazo nimefanya wengi wameniambia sita qualify mpaka nisome kwanza Postgraduate diploma ya public health. So far Tz hatuna chuo kinachotoa hiyo postgraduate.

Please kama unaweza kuwa na ufahamu zaidi waweza kunishauri maybe kuna chuo ambacho naweza kupata admission ya MpH kwa kuzingatia elimu yangu ya degree.

ASANTE SANA.
 
Institute of Rural Development Planning (Chuo cha Mipango-Dodoma. Thanks

Hiyo degree yako ya kwanza ni BSc (Bachelor of Science).?
Kama sio BSc, ni ngumu wewe kupata admission ya MpH tajiri. Ni lazima ufanye kama ulivyoshauriwa, kupiga PG au ungekuwa na degree ambayo ni Science BSc.
 
Hiyo degree yako ya kwanza ni BSc (Bachelor of Science).?
Kama sio BSc, ni ngumu wewe kupata admission ya MPH tajiri. Ni lazima ufanye kama ulivyoshauriwa, kupiga PG au ungekuwa na degree ambayo ni Science BSc.
Asante sana ndugu. Nitalifanyia kazi hili
 
Hapana ni social science. Thanks

Huwezi soma MpH. MpH core discipline yake ni Epidemiology, Biostatistics, Environmental Health. Pia Master kwa public health kila chuo kinatoa kulingana na focus yake, wengine wanatoa MpH (Research), Wengine MpH (Diseases Control and Intervention), hapa lazima uwe umepiga MD, nursing, physician au allied health professional yeyote.

Social science subjects ni ngumu tajiri, hata soma soma yako itakuwa mtihani sana. Kila la kheri.
 
Huwezi soma MPH. MPH core discipline yake ni Epidemiology, Biostatistics, Environmental Health. Pia Master kwa public health kila chuo kinatoa kulingana na focus yake, wengine wanatoa MPH (Research), Wengine MPH (Diseases Control and Intervention), hapa lazima uwe umepiga MD, nursing, physician au allied health professional yeyote.

Social science subjects ni ngumu tajiri, hata soma soma yako itakuwa mtihani sana. Kila la kheri.
Umenipa ushauri mzuri sana ndugu, umechambua kitaalamu sana. Ngoja nitafute PG yake kwanza. Asante sana sana ndugu.
 
Habari ndugu zangu.

Naomba ushauri wa chuo bora kusoma Masters katika fani ya Mazingira, au waste management na course ipi nzuri ukiachana na Environment Management, Disaster management na climate change. So far nina Bachelor ya Environmental Planning and Management kutoka IRDP.

Binafsi huwa napenda sana kusoma Public Health lakini kwa consultation ambazo nimefanya wengi wameniambia sita qualify mpaka nisome kwanza Postgraduate diploma ya public health. So far Tz hatuna chuo kinachotoa hiyo postgraduate.

Please kama unaweza kuwa na ufahamu zaidi waweza kunishauri maybe kuna chuo ambacho naweza kupata admission ya MpH kwa kuzingatia elimu yangu ya degree.

ASANTE SANA.
RankUniversityNotable Environmental Programs
1Stanford UniversityEnvironmental Science, Sustainability, Energy Resources Engineering
2University of OxfordMSc Environmental Change and Management
3University of CambridgeConservation Leadership, Environmental Policy
4ETH ZurichEnvironmental Sciences, Climate Systems
5Wageningen University & ResearchEnvironmental Sciences, Climate Studies, Natural Resource Management
6University of California, BerkeleyEnvironmental Science, Policy, and Management
7Imperial College LondonEnvironmental Technology, Environmental Engineering
8Yale UniversityEnvironmental Management, Forestry & Environmental Studies
9University of British ColumbiaEnvironmental Science, Sustainability
10Australian National UniversityEnvironment and Sustainability, Climate Science
 
Nyie WaTz ni vilaza sana... As long as unasoma ndani ya Tz basi tambua kwamba vyuo vyote ni sawa hakuna chuo bora kuliko kingine, otherwise kama unataka uzuri wa majengo ya chuo hapo unaweza kutafuta chuo bora 🤣💩 soma certificate, diploma, degree, Masters au PhD chuo chochote Tz cha muhimu kiwe kimesajiliwa
 
Nyie WaTz ni vilaza sana... As long as unasoma ndani ya Tz basi tambua kwamba vyuo vyote ni sawa hakuna chuo bora kuliko kingine, otherwise kama unataka uzuri wa majengo ya chuo hapo unaweza kutafuta chuo bora 🤣💩 soma certificate, diploma, degree, Masters au PhD chuo chochote Tz cha muhimu kiwe kimesajiliwa
Upo sahihi kabisa mimi ni mmoja wapo wa vilaza. Lakini lengo langu halikujikita kusoma nje ya Tanzania. Malengo yangu ni kupanua wigo wa elimu yangu ya awali, changamoto ni course ipi itakayonifanya kufika mahali nataka.
Ukiwa kama Brilliant person, naomba uniambie ni kwanini vyuo vyote vya Allied Sciences Tanzania kwanini hawana Course ya POSTGRADUATE DIPLOMA IN PUBLIC HEALTH. Hapo ndio utakuwa umenipa sababu sahihi ya kutotaka kufikiri nje ya Box. Asante
 
Upo sahihi kabisa mimi ni mmoja wapo wa vilaza. Lakini lengo langu halikujikita kusoma nje ya Tanzania. Malengo yangu ni kupanua wigo wa elimu yangu ya awali, changamoto ni course ipi itakayonifanya kufika mahali nataka.
Ukiwa kama Brilliant person, naomba uniambie ni kwanini vyuo vyote vya Allied Sciences Tanzania kwanini hawana Course ya POSTGRADUATE DIPLOMA IN PUBLIC HEALTH. Hapo ndio utakuwa umenipa sababu sahihi ya kutotaka kufikiri nje ya Box. Asante

Mdogo wangu! JF ni kuna wapuuzi wengi, wataku "provoke". Mtu atakutajia ETH Zurich wakati yupo Tandale hana hata godoro! 😊
 
Upo sahihi kabisa mimi ni mmoja wapo wa vilaza. Lakini lengo langu halikujikita kusoma nje ya Tanzania. Malengo yangu ni kupanua wigo wa elimu yangu ya awali, changamoto ni course ipi itakayonifanya kufika mahali nataka.
Ukiwa kama Brilliant person, naomba uniambie ni kwanini vyuo vyote vya Allied Sciences Tanzania kwanini hawana Course ya POSTGRADUATE DIPLOMA IN PUBLIC HEALTH. Hapo ndio utakuwa umenipa sababu sahihi ya kutotaka kufikiri nje ya Box. Asante
Asante kijana umeni challenge vizuri...
Kwanza sikukushauri usome nje ya nchi bali nilisema Tz hakuna chuo kikuu au cha kati kilicho bora zaidi ya kingine (vyote vipo sawa in terms of academic service) ila ukitaka kuvipanga kimiundombinu basi hapo utapata kipi ni bora...
Nije kwenye swali lako la msingi umeuliza (...kwanini vyuo vyote vya Allied Sciences Tanzania kwanini hawana Course ya POSTGRADUATE DIPLOMA IN PUBLIC HEALTH..?)
1. Taasisi zote Tz zinazotoa "Allied Health Science" vipo chini ya NACTVET hili baraza halina mamlaka ya kutoa degree/masters linatoa Certificate na Diploma tu... (Ndiyo maana mnajiuliza kwanini chuo fulani kinatoa Certificate na Diploma tu ktk fani husika? Basi jibu ndio hilo.
2. Course za Allied Health Science zimeanzishwa kwa lengo la kuisaidia serikali kupata wataalam wengi kwa muda mfupi (ndio maana unaona kwasasa serikali ina ajiri sana certificate na diploma).
3. Serikali ime set kwa makusudi mtu anayetaka kusoma Public Health ni lazima asome MASTERS na sio apitie mlango wa nyuma kwa kuanzia POST GRADUATE... Kwa maana hiyo hii ni faida kwa serikali kimkakati.
Yapo mambo mengi niishie hapo, nikagombane na watu kwenye threads nyingine
 
Mdogo wangu! JF ni kuna wapuuzi wengi, wataku "provoke". Mtu atakutajia ETH Zurich wakati yupo Tandale hana hata godoro! 😊
🤣😂 WaTz tatizo mmejaa uoga na hamuwez kujiamini na hamna exposure ndiyo maana mmegeuka kuwa mtaji wa wanasiasa uchwara...
Mmewekewa mifumo mirahisi ya kidunia ila mlivyo wajinga mmejifungia kwenye mabanda ya uwani ya waume za dada zenu mkiamini maisha ni Tanzania tu kula na kulala na kusoma vyuo vya Kata...
Okay nikuelekeze tu, kupitia cm yako hiyo ya mkopo kama ilivyo hii yangu 💩🤣 unaweza kupata scholarship za bure kabisa bila kuwa na connection ya mume wa dada yako au mjomba wako, UKAPATA NAFASI YA KWENDA KUSOMA DIPLOMA DEGREE AU MASTERS NJE YA NCHI ULAYA AU ASIA...
Watanzania wenzako tena kutoka tandale mbagala mabwepande temeke nanjilinji kishimundu makongorosi matejoo na kwingine wametumia akili ndogo tu wamepata hizo nafasi...
Wewe kaza fuvu ukiamini kila anaye kwenda kusoma ulaya au Asia ni matajiri
 
🤣😂 WaTz tatizo mmejaa uoga na hamuwez kujiamini na hamna exposure ndiyo maana mmegeuka kuwa mtaji wa wanasiasa uchwara...
Mmewekewa mifumo mirahisi ya kidunia ila mlivyo wajinga mmejifungia kwenye mabanda ya uwani ya waume za dada zenu mkiamini maisha ni Tanzania tu kula na kulala na kusoma vyuo vya Kata...
Okay nikuelekeze tu, kupitia cm yako hiyo ya mkopo kama ilivyo hii yangu 💩🤣 unaweza kupata scholarship za bure kabisa bila kuwa na connection ya mume wa dada yako au mjomba wako, UKAPATA NAFASI YA KWENDA KUSOMA DIPLOMA DEGREE AU MASTERS NJE YA NCHI ULAYA AU ASIA...
Watanzania wenzako tena kutoka tandale mbagala mabwepande temeke nanjilinji kishimundu makongorosi matejoo na kwingine wametumia akili ndogo tu wamepata hizo nafasi...
Wewe kaza fuvu ukiamini kila anaye kwenda kusoma ulaya au Asia ni matajiri

Unaninanga mie na kwenda Ulaya!!! Unachekesha. 😊
 
Habari ndugu zangu.

Naomba ushauri wa chuo bora kusoma Masters katika fani ya Mazingira, au waste management na course ipi nzuri ukiachana na Environment Management, Disaster management na climate change. So far nina Bachelor ya Environmental Planning and Management kutoka IRDP.

Binafsi huwa napenda sana kusoma Public Health lakini kwa consultation ambazo nimefanya wengi wameniambia sita qualify mpaka nisome kwanza Postgraduate diploma ya public health. So far Tz hatuna chuo kinachotoa hiyo postgraduate.

Please kama unaweza kuwa na ufahamu zaidi waweza kunishauri maybe kuna chuo ambacho naweza kupata admission ya MpH kwa kuzingatia elimu yangu ya degree.

ASANTE SANA.
Mtaani
Habari ndugu zangu.

Naomba ushauri wa chuo bora kusoma Masters katika fani ya Mazingira, au waste management na course ipi nzuri ukiachana na Environment Management, Disaster management na climate change. So far nina Bachelor ya Environmental Planning and Management kutoka IRDP.

Binafsi huwa napenda sana kusoma Public Health lakini kwa consultation ambazo nimefanya wengi wameniambia sita qualify mpaka nisome kwanza Postgraduate diploma ya public health. So far Tz hatuna chuo kinachotoa hiyo postgraduate.

Please kama unaweza kuwa na ufahamu zaidi waweza kunishauri maybe kuna chuo ambacho naweza kupata admission ya MpH kwa kuzingatia elimu yangu ya degree.

ASANTE SANA.
Mitaani
 
Back
Top Bottom