agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,414
- Thread starter
- #201
Sasa mbona huwa mnawaponda wanawake wanaokosa waume.Ni very rahisi kukosa mke, alafu hili tukio la kukosa mke huwa linavuruga kabisa akili ya mwanaume
Sasa mbona huwa mnawaponda wanawake wanaokosa waume.Ni very rahisi kukosa mke, alafu hili tukio la kukosa mke huwa linavuruga kabisa akili ya mwanaume
Anataka akutafune tuHivi ni kweli kuna mwanaume anakosa mwanamke wa kumuoa mpaka anakata tamaa ya kuwa na familia?
Kuna mwalimu wangu wa primary kwa sasa anakimbilia 40 lakini hana mke wala mtoto, ukipiga nae story mbili tatu lazima aingize habari ya kukosa mke
huwa nakosa majibu ni kweli anakosa mke au ana tabia zinazomkosesha mke?
Ni ego tu!!Sasa mbona huwa mnawaponda wanawake wanaokosa waume.
EeehLakini si ni wachache?
HahahahaaNa machimboni nakumbuka ulienda ukiwa na miaka sita. Wakati huo hata kuoga hujui.
Hahahaaa!! Eti kidogo tu.Eeeh
Kidogo tuu lakin
Kwakweli.Hahahahaa
Nilikuwa mkubwa mimi
Hivi ni kweli kuna mwanaume anakosa mwanamke wa kumuoa mpaka anakata tamaa ya kuwa na familia?
Kuna mwalimu wangu wa primary kwa sasa anakimbilia 40 lakini hana mke wala mtoto, ukipiga nae story mbili tatu lazima aingize habari ya kukosa mke
huwa nakosa majibu ni kweli anakosa mke au ana tabia zinazomkosesha mke?
Pole Muombe Mungu utapata.Hata mi nimekosa mke
Hahaaa haya.Mwambie Ukweli huyo Teacher Kwamba "AMEKOSA HELA TU" akipata hela Mke Atakuja Automatically.
Nikusubir wapi?[HASHTAG]#agataedward[/HASHTAG] Wewe nisubiri modo wangu
Kwann?Huwezi jua wala huwezi tambua,
Hauwezi kujua ni kitu gani hada kina msumbua, huenda akawa na matatizo hawezi kuweka wazi kilahisi hivyo.Kwann?
labda jogoo wake ana tema povu tu, au haliwiki kabisa [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hauwezi kujua ni kitu gani hada kina msumbua, huenda akawa na matatizo hawezi kuweka wazi kilahisi hivyo.
Kwenu nije kutoa mahariNikusubir wapi?