Natamani kuoa ila nimekosa mke

Natamani kuoa ila nimekosa mke

Hivi ni kweli kuna mwanaume anakosa mwanamke wa kumuoa mpaka anakata tamaa ya kuwa na familia.?

Kuna Mwalimu wangu wa primary kwa sasa anakimbilia 40 lakini hana mke wala mtoto,ukipiga nae story mbili tatu lazima aingize habari ya kukosa mke..
huwa nakosa majibu ni kweli anakosa mke au ana tabia zinazomkosesha mke!?.
Siku ikifika atapata me nilitafuta Kwa miaka 20 nimekujapata nikiwa na miaka 40. Sikutaka kuzaa nje sababu sipendi kuchanganya kila mtoto na mama yake maana niliwaonea huruma kumzalisha MTU then nisimuoe,ila sina mtoto bado mke wangu mimba ilitunga nje ya kizazi akakatwa mrija wa kushoto ila ndo tunajaribu tena. Sikupenda nichelewe kuoa lkn nililazimishwa na mazingira ikiwa niliowapenda niwaoe hawakunitaka niwaoe.Kiimani kila jambo na wakati wake.
 
Kuna utafiti unasema wanaume wengi waliofikisha 35+ bila kuoa huwa na gubu sana.
Vibaya kumsema hivyo mwalimu wako kwa kuwa kama sasa ana miaka hiyo na kwamba amekufundisha na kwa kuwa siku siku hazigandi basi probably nawe unakaribia kuvuka taa nyekundu! Kubali bhana, niko nyuma yako mtegeshee tu ule pensheni!
 
Vibaya kumsema hivyo mwalimu wako kwa kuwa kama sasa ana miaka hiyo na kwamba amekufundisha na kwa kuwa siku siku hazigandi basi probably nawe unakaribia kuvuka taa nyekundu! Kubali bhana, niko nyuma yako mtegeshee tu ule pensheni!
Bora kuvuka tu hiyo taa nyekundu.
 
Punga huyo ukiwa timamu na nyege zipo full mbuzi mzr nakwambia mimi huyo sio riziki
 
Back
Top Bottom