mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,402
- 23,199
Duu 2006 niko 1st Year2006 nilikuwa LA saba wakati huo Mwalimu wangu alikuwa na miaka kati ya 24_26 ukipiga hesabu hapo kwa sasa atakuwa na miaka mingapi?
Duu 2006 niko 1st Year2006 nilikuwa LA saba wakati huo Mwalimu wangu alikuwa na miaka kati ya 24_26 ukipiga hesabu hapo kwa sasa atakuwa na miaka mingapi?
Nimeona neno mchuchu...hahahaHaha vip agata mbona umeguna?
Bado sio mkubwa sana.Duu 2006 niko 1st Year
Labda ww utafaaFanya uoe acha ubinafsi
Mazingira na maslahi duni. Si unajua tukishazishika viburi vinaanza.Hahahaha
Nikajua jua batch ingine etii itakuja
Mweeh!
Ila kwa nini hii kada ya walim inainekana kufanya vzuri kwenye ndoa eti?
KwakweliBora aendelee kukaa tu hivyo hivyo hadi akili yake itakapokua sawa! Kuoa au kuolewa sio suala la mchezo!
Mie na kusoma nishasahau huo mwaka, kumbe humu niko na wanangu kabisa.Duu 2006 niko 1st Year
Vip wewe unavigezo vya kukutana na wife material..?Nilikuwa siamin pia...ila na mim naona....wanawake ni wengi sana....ila wake ni wachache sana...nataman nimpate ata kexo lakin wapii!!
Sio kweli angefunguka tuKwa kuwa wewe pia hujaolewa na ushahidi ni jinsi mlivyokuwa mnapiga soga za ndoa na mwalimu wako basi nakushauri uolewe naye maana kukuambia kakosa mke wenye mvi tunasema ni tongozo la kiutu uzima!
[emoji23] [emoji23] sasa utoto hapo uko wapi?Mie na kusoma nishasahau huo mwaka, kumbe humu niko na wanangu kabisa.
Mdogo wangu wa mbali sanaaaaa[emoji23] [emoji23] sasa utoto hapo uko wapi?
Darasa la kwanza nilianza na miaka 9Bado sio mkubwa sana.
Mmmmmmm.Darasa la kwanza nilianza na miaka 9
Ina maana hadi anakueleza yote hayo hukuweza hata kumsoma body language? Changamkia fursa,waume sasa ni adimu!Sio kweli angefunguka tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sio neno zuri kulitumia eeh?Nimeona neno mchuchu...hahaha
Sio kiivyo mimi historia yangu ya shule ni ndefu sana maana kuna miaka miwili ilipita kavu bila kugusa shuleMdogo wangu wa mbali sanaaaaa
Kuna utafiti unasema wanaume wengi waliofikisha 35+ bila kuoa huwa na gubu sana.Ina maana hadi anakueleza yote hayo hukuweza hata kumsoma body language? Changamkia fursa,waume sasa ni adimu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sio neno zuri kulitumia eeh?[/QUOTEzuri tu..