DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Naguna huko kukoseaUnaguna nini.
YeahKweliii eee.
Una kabinti kaliko iva hapo kwako. nije tuunganishe ukoo.Marahabaaaa mwanangu.
Kabinti kangu kameolewa.Una kabinti kaliko iva hapo kwako. nije tuunganishe ukoo.
DaaaaaaKabinti kangu kameolewa.
Ni kweli kabisa watu wanakosa mke. Kuna wanawake lakini mke ni wakutafuta kwa tochi. Hasa ikifika kipindi cha kuoa. Wengi wanaoa kwakua wamejikuta wanaoa kwa mazoea na hakuna namna. Labda wameisha mda mrefu hivyo anaona hana choice ingine.Hivi ni kweli kuna mwanaume anakosa mwanamke wa kumuoa mpaka anakata tamaa ya kuwa na familia?
Kuna mwalimu wangu wa primary kwa sasa anakimbilia 40 lakini hana mke wala mtoto, ukipiga nae story mbili tatu lazima aingize habari ya kukosa mke
huwa nakosa majibu ni kweli anakosa mke au ana tabia zinazomkosesha mke?