Natamani kuoa ila nimekosa mke

Natamani kuoa ila nimekosa mke

agata edward

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2014
Posts
6,641
Reaction score
9,414
Hivi ni kweli kuna mwanaume anakosa mwanamke wa kumuoa mpaka anakata tamaa ya kuwa na familia?

Kuna mwalimu wangu wa primary kwa sasa anakimbilia 40 lakini hana mke wala mtoto, ukipiga nae story mbili tatu lazima aingize habari ya kukosa mke
huwa nakosa majibu ni kweli anakosa mke au ana tabia zinazomkosesha mke?
 
Hiyo ipo ni kutokana na vigezo na mazingira. Wakati watu wengi huwa wanadhani labda ni wanawake tuu ndio huolewa na watu wasio wapenda au wenye sifa wasizo zitaka kwa kuwa wao ndio wanatafutwa. Hii ishu ipo hata kwa wanaume, wengi sana walioa kwani time ilifika au walihisi hao wanawake ndio wako available au wanafaa kuwa kina mama wa house tu. ila si kwamba waliwapenda au walitimiza kila kigezo kinachi tafutwa. Na ndio maana bado ndoa nyingi zina feli
Mwalimu naye akipata mtu sahihi kwa wakati sahihi ataoa.
 
Hivi ni kweli kuna mwanaume anakosa mwanamke wa kumuoa mpaka anakata tamaa ya kuwa na familia.?

Kuna Mwalimu wangu wa primary kwa sasa anakimbilia 40 lakini hana mke wala mtoto,ukipiga nae story mbili tatu lazima aingize habari ya kukosa mke..
huwa nakosa majibu ni kweli anakosa mke au ana tabia zinazomkosesha mke!?.
Mwalimu wako wa primary ana 40 perhaps you are 15yrs old
 
Hiyo ipo ni kutokana na vigezo na mazingira. Wakati watu wengi huwa wanadhani labda ni wanawake tuu ndio huolewa na watu wasio wapenda au wenye sifa wasizo zitaka kwa kuwa wao ndio wanatafutwa. Hii ishu ipo hata kwa wanaume, wengi sana walioa kwani time ilifika au walihisi hao wanawake ndio wako available au wanafaa kuwa kina mama wa house tu. ila si kwamba waliwapenda au walitimiza kila kigezo kinachi tafutwa. Na ndio maana bado ndoa nyingi zina feli
Mwalimu naye akipata mtu sahihi kwa wakati sahihi ataoa.
Vigezo gani hivyo vyakumfanya afikishe 40 hana mke.?
 
Back
Top Bottom