Natamani kuoa ila nimekosa mke

Natamani kuoa ila nimekosa mke

yeah, nimeona ndoa nyingi sana zimeegemea upendo wa sehemu moja, yani mtu anavumilia kukaa kwenye ndoa sio kwasababu ya upendo, ila ni kwamba hana choice/options, sasa afanyeje..hizo ndoa zilizojaa furaha na upendo tele from both sides, si bure ni Mungu tu, ameweka mkono wake hapo macho 4
Ila bora mwanaume ampende mwanamke ,kinyume chake hiyo ndoa huwa inazidi jehanamu.
 
Agatha hebu kubali nikuoe maana inaonekana wanaume wamekuumiza sana!Njoo upate punziko la moyo usahau yaliyopita
 
Mke/mme hachukuliwi bali anachaguliwa....

Hapa ndipo wengi huwa wanafeli wanachukua mtu ambaye hawajampenda ila basi tu kwa sababu anataka kuoa ama kuolewa hii makosa makubwa sana, na ndomana ndoa za siku hizi zinaingia madoa mapema kweupe sana...
My take:
Mke mpende wewe usioe kisa mama/baba au mzazi mlezi kampenda
 
Mke/mme hachukuliwi bali anachaguliwa....

Hapa ndipo wengi huwa wanafeli wanachukua mtu ambaye hawajampenda ila basi tu kwa sababu anataka kuoa ama kuolewa hii makosa makubwa sana, na ndomana ndoa za siku hizi zinaingia madoa mapema kweupe sana...
My take:
Mke mpende wewe usioe kisa mama/baba au mzazi mlezi kampenda
So wanaume wanaodai wamekosa wanawake wa kuoa maana yake bado hawajapata wakumpenda?
 
So wanaume wanaodai wamekosa wanawake wa kuoa maana yake bado hawajapata wakumpenda?
Agata edward,

Kutokupata wakumpenda, Ilo pia linawezakuwa tatizo/changamoto pia kuchagua sana kuna wachelewesha kupata wenza wao hovyo kujikuta wanakaa muda murefu pasi na ndoa ama kupata mwenza

Mala nyingi watu namna hii wanatamaa sana za kimwili.
 
Agata edward,

Kutokupata wakumpenda, Ilo pia linawezakuwa tatizo/changamoto pia kuchagua sana kuna wachelewesha kupata wenza wao hovyo kujikuta wanakaa muda murefu pasi na ndoa ama kupata mwenza

Mala nyingi watu namna hii wanatamaa sana za kimwili.
Hapo kwenye tamaa napaelewa zaidi..sio rahisi ufikishe miaka 40 ukose angalau mwenye vigezo nusu ya unavyohitaji.
 
Back
Top Bottom