Natamani kuoa ila nimekosa mke

Natamani kuoa ila nimekosa mke

hii stori ina ukweli sababu huyu mwanamke ana maka 25 umri wa juu kumaliza shule ya msingi ni miaka 14 so ni kama miaka 11 iliyopita tukiassume mwalimu kwa sasa ana miaka 39 basi hawa wawili walikutana pamoja mwalimu akiwa na miaka 28 huko sule ya msingi umbra ambao ni sahihi kabisa.
 
hii stori ina ukweli sababu huyu mwanamke ana maka 25 umri wa juu kumaliza shule ya msingi ni miaka 14 so ni kama miaka 11 iliyopita tukiassume mwalimu kwa sasa ana miaka 39 basi hawa wawili walikutana pamoja mwalimu akiwa na miaka 28 huko sule ya msingi umbra ambao ni sahihi kabisa.
Bora umenisaidia
 
Hapana, si huwa mnasema nyie ni wachache? Kwahiyo mwanamke kutokuolewa sio ajabu ila ni ajabu kwa mwanaume. Lazima awe na shida huyo.
Hahahaha
Kwa mujibu wa sensa hata hatuoishani sanaa
Ukiondoa na dactors zingine wanaume si wachache kiasi kubwa
 
Maamuzi ya kuingia kwa ndoa sio rahisi kihivyo, kwa mtu asiye na maamuzi thabiti aweza ahirisha kila mwaka, at the end anashangaa kafika 40.

Wanawake/wanaume ni wengi lakini kufanya maamuzi ya kuishi na mmoja tu unahitaji kujipiga moyo teke.
 
Back
Top Bottom