BongeMwepesi
Senior Member
- Aug 13, 2013
- 125
- 83
Cpv nyte
hteupnebnhy
.
Me
e
hteupnebnhy
.
Me
e
Hahahaaaa we nae... wivu utamwoneaje Shemeji yako... Dadiiiiii Excel dont leave me here... l am so lonly without dadiiiii...
Jiji lina joto hili uvae singlend, dira litakutesa
Weweuchangudoa wako ndiyo tatizo unafikiri kila mtu wa humu ni kama wewe hahahahahahaha usikriri maisha hv bado upo mbagala?
sa itakuwaje? mfaji kakataa!
Rudi njia kuu... kutafuta michepuko ambayo ni future corpse unadhani inauma kidogo... ntayapeleka!!!!!
Msisahau helmet mwambie na Dinazarde
Shemeji msalimie mke wako, nna muda simuoni....Jamani usife..
Njoo kwangu mimi mkaka mzuri ninapesa za kutosha ila sina wakutumia nae...
Dini yangu mkristo
Sina mpenzi kwa sasa.
Ila nilisha wahi kuzaa na binti mmoja hivi mtoto wetu ni huyo kwenye avatar, baada ya hapo akaolewa na jamaa mwingine.
Zipo sifa nyingi tu za ziada sitaweza kuzianika hapa zote, naogopa kusumbuliwa.
Pls! Pls! Pls! nakuomba sana usitamani kufa chaguo lako niko hapa achana na mtoto wa shekhe..
jamani namba imeweka muda gani wakti mimi sijatoka tangu nimerudi jamani aliyeiona plZ
We nifatee mimi ntawapelekaa naona msiba unanukiaa jamaniii keshakufaa etiii
aisee! Hahahaaaaa! Nitake radhi tafadhari au kwa vile umehamia mbagala rangi3?
Ndani ya madira msiache kuvaa pensi make huu upepo he.....
Mbona uko kimyaa? Tayari ushakufa ninni?Wakubwa heshima kwenu!
Kama mnakumbuka nilikuja hapa kuomba ushauri kuhusu kuolewa na mpenzi wangu ambaye ni muslim na mie ni mkristo!
Nimefikiria sana nimeona ni bora niachane nae sababu baba yangu amesema kama nikiikana imani yake nitakuwa nimemkana na yeye tatizo ni kwamba huyu mkaka jamani nampenda sana sana nafikiria nitaolewa na nani sababu kuna wanaume kama 10 wananitaka lakini wenye uwezo wa kifedha wote ni waume za watu,vijana wanaontaka unakuta wengine wanachuo n.k ntaishije bilaa mpenzi?nitadate na waume za watu?nitaipata wapi furaha nliyokuwa naipata?siwezi kudate na mtu mwenye maisha ya chini ni kosa kabisa kwa wazazi wangu wanataka mtu msomi tena mtu maarufu!!nafikiria hata kufa niachane na haya maisha
Ushauri tafadhali
Mi sitahudhuria ntakuwa naangalia mechi na bebibiiiNtawaelekezaaa jiandae tukupitieee twende msiban maana nahis mtu ashakufaaa tayariiiii
Shemeji msalimie mke wako, nna muda simuoni....
Dada huko sasa kwingine. Mbagala wanakaa watu tafadhali.
Mbona uko kimyaa? Tayari ushakufa ninni?