Natamani kufa

Natamani kufa

Status
Not open for further replies.
Hahahahahahhahahahahaaha ntakupm picha yangu huyu eve nlisom nae anaishi kwa shangazi yake mbagala rangi 3 anajiuza kimboka sy typ yangu anapenda kujilinganisha na mie tell her to stay back wth me!
Everlyne Salt ana kisomo chake we umeumbiliwa unajikosha kwa uchovu wako bora UUFYATE nilikuwa na log in kwa ajili ya kukuumbua na multiple ID yako ,kama UKIACHWA ACHIKA UNAMNG'ANG'ANIA BABA YAKO MZAZI HUYO.
 
Last edited by a moderator:
Mi navaa leggings bwana. Free size, manake hipsi na kalio ni hapa hadi kuleeee! Na kitopu cheupe plz.

machozi yananiwasha tayari. Marehemu keshakufa?

Ngoja nikaangalie report ya daktari, ntakuja kukupa jibu.

Andaa sare za khanga, biashara hiyo.
 
Everlyne Salt ana kisomo chake we umeumbiliwa unajikosha kwa uchovu wako bora UUFYATE nilikuwa na log in kwa ajili ya kukuumbua na multiple ID yako ,kama UKIACHWA ACHIKA UNAMNG'ANG'ANIA BABA YAKO MZAZI HUYO.

Labda ni baba yake au kamzaaa na akifaa atakua kamkomoaa kwelii Evelyn Salt yaan hee
 
Last edited by a moderator:
Mi navaa leggings bwana. Free size, manake hipsi na kalio ni hapa hadi kuleeee! Na kitopu cheupe plz.

machozi yananiwasha tayari. Marehemu keshakufa?

Legging inaweza kuchanika halafu itakutia joto bure, manake huko msibani kutakuwa hapatoshi, full msutano yani itasutwa mpaka maiti.....joto hasira tupu. So tumechagua mapensi kwa afya....ili hewa ipite.
 
Ngoja nikaangalie report ya daktari, ntakuja kukupa jibu.

Andaa sare za khanga, biashara hiyo.

We usitake kuniharibia mishe zangu, dili la sare nshaliwahi mapema hata marehemu mwenyewe anajua, tena rangi kanisaidia kuchagua....kama unabisha muulize kabla hajarest in peace jumla.
Uniwache na dili langu.
 
ngoja mtu aje na rungu akuzimishe wewe sasa
lol

hhaahah sitakufa bali nitaishi siwezi kutishia nyau watu wewe nina wapendwa wengi,tatizo huyu alitaka kufa sasa unajua jf tuna umoja lazima tumsitiri lol
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom