Natamani kufa

Natamani kufa

Status
Not open for further replies.
hebu nimwite mwalim wangu miss neddy aje athibitishe kama kweli ww ni mtoto wa Excel kwasababu naona moyo unaenda mbio vbaya

Hahahaaaa Dadiiii hajawai kunitambulisha kwa mamiiii... huyo atakua step mamiii na unawajua step mamiiiisss shemejiiii...
 
Last edited by a moderator:
hebu nimwite mwalim wangu miss neddy aje athibitishe kama kweli ww ni mtoto wa Excel kwasababu naona moyo unaenda mbio vbaya

hako katoto mi sikatambui huoni hata kuniita mamiii kanaogopa king alikazaaga kwenye michepuko yake huko
 
Last edited by a moderator:
Mambo jirani?

We umeingia sasa hivi, kwa heri mimi naenda kuitafuta weekend..

Tutaonana pale pale tunaponanaga..
images

mhhhhhhhhhhhh
 
Uuuh bora nipunguze madeni make huwa natoka mbagala naenda kushinda mlimani city nakwepa madeni

Heee basi rambi rambii zitakusaidiaaa kulipa madeni si unajuaaa ni mke mwezio kwa hiyoo hakuna ubayaa,halaf mme umebakishiwaaaa raha jee
 
tusubiri hadi asb story inaweza badilika tukadaiwa,afu mi sipendagi kutishiwa nyau ujue nilikiwa naruka post zingine nkitafuta picha!!!!!!!

si ndo hapo mi nimekomalia post kumbe hamna cha namba za simu wala cha nini sasa kifo nacho tena hamna aaaah
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom