za jioni? pole na huu mtanange!
Acha kutunzinguaa nani akupigie simu kichefu chefu kama wewe tutolee uchafu hapaa huyo bwanaako nipo nae hapaaa anasema we ni gogooo kitandan acha nimpe vituuu moto motoo
Jamani mtanange ndo umeisha loh picha hatujaona wala namba msirudie tena
mimi kesho sina kazi na natamani kuzunguka ,bagala sikujui nitapata mayai ya kienyeji uko????naomba unipeleke kwa kina evelyn kwan yeye mwenyewe anajua nampenda,nilipanga kumfata mwanza kumbe yupo hapo mbagala kwsho twende,au why usiweke namba kama picha uweki honey??maana si busara kumfata mtu bila taarifa au nakosea?
Aseeee usife kabla hujamaliza deni langu ohooooo sitakuelewa
nilitamani niione namba lakini patupu kumbee ndivo alivyo
mimi kesho sina kazi na natamani kuzunguka ,bagala sikujui nitapata mayai ya kienyeji uko????naomba unipeleke kwa kina evelyn kwan yeye mwenyewe anajua nampenda,nilipanga kumfata mwanza kumbe yupo hapo mbagala kwsho twende,au why usiweke namba kama picha uweki honey??maana si busara kumfata mtu bila taarifa au nakosea?
dinazarde kesho twende tukashuudie mtanange lol
Hahhhhahhhhahhha jamaniii hafi mtu hapaa humuu
kaka angu ndo maana mi sitakagi marafiki wa kike ni wanafki sana kitu kidogo hawashindwi kukuangamiza,my boy my friend thats all,mpenzi wangu ndo rafiki angu the rest nooooooooo,plus my family baasiiii
Wakubwa heshima kwenu!
Kama mnakumbuka nilikuja hapa kuomba ushauri kuhusu kuolewa na mpenzi wangu ambaye ni muslim na mie ni mkristo!
Nimefikiria sana nimeona ni bora niachane nae sababu baba yangu amesema kama nikiikana imani yake nitakuwa nimemkana na yeye tatizo ni kwamba huyu mkaka jamani nampenda sana sana nafikiria nitaolewa na nani sababu kuna wanaume kama 10 wananitaka lakini wenye uwezo wa kifedha wote ni waume za watu,vijana wanaontaka unakuta wengine wanachuo n.k ntaishije bilaa mpenzi?nitadate na waume za watu?nitaipata wapi furaha nliyokuwa naipata?siwezi kudate na mtu mwenye maisha ya chini ni kosa kabisa kwa wazazi wangu wanataka mtu msomi tena mtu maarufu!!nafikiria hata kufa niachane na haya maisha
Ushauri tafadhali
nataka nije rocky city june nitakutafuta lol,hHhahaaha nimalize deni
najipendekeza tu jamani naomba tuongozane lol!
Nimehamia mbagala lol....
nilitamani niione namba lakini patupu kumbee ndivo alivyo
watu wana hila looh kukutoa mwanza jiji safi mpaka mbagala tena usiku huu watu wabaya jamani Dinazarde jamani evelyn salt kaamishiwa mbagala usiku huu
Jamani usife..
Njoo kwangu mimi mkaka mzuri ninapesa za kutosha ila sina wakutumia nae...
Dini yangu mkristo
Sina mpenzi kwa sasa.
Ila nilisha wahi kuzaa na binti mmoja hivi mtoto wetu ni huyo kwenye avatar, baada ya hapo akaolewa na jamaa mwingine.
Zipo sifa nyingi tu za ziada sitaweza kuzianika hapa zote, naogopa kusumbuliwa.
Pls! Pls! Pls! nakuomba sana usitamani kufa chaguo lako niko hapa achana na mtoto wa shekhe..