Natamani kufa

Natamani kufa

Status
Not open for further replies.
Hahahhahahaha eve ndo anakaa mbagala rangi 3 siyo mie jaman alafu ukimkosa huko huwa afua mashuka pale rombo green view hoteli

tupe namba au tupeleke ulimwengu wa digtali huu tupo wengi tayari uwezi mtafuta mtu manually wakati una namba zake mamiii,tupe namba bwana si unazo yaani sisi tuangaike wakati namba unazo sio freshi mamiii plzzzz,mungu hapendi
 
mimi kesho sina kazi na natamani kuzunguka ,bagala sikujui nitapata mayai ya kienyeji uko????naomba unipeleke kwa kina evelyn kwan yeye mwenyewe anajua nampenda,nilipanga kumfata mwanza kumbe yupo hapo mbagala kwsho twende,au why usiweke namba kama picha uweki honey??maana si busara kumfata mtu bila taarifa au nakosea?
Mkifika pale kwa bi meno nyumba ya tatu mtaona banda la njiwa ndo nipo hapo
dina anapajua vizuri
 
watu wana hila looh kukutoa mwanza jiji safi mpaka mbagala tena usiku huu watu wabaya jamani Dinazarde jamani evelyn salt kaamishiwa mbagala usiku huu

Na mie nashangaaa kutoka rock city jiji la hewaaa mpakaaa mbagaraaa makubwaa nimeamini eve ni jiniii
 
Mkifika pale kwa bi meno nyumba ya tatu mtaona banda la njiwa ndo nipo hapo
dina anapajua vizuri

Ntawaelekezaaa jiandae tukupitieee twende msiban maana nahis mtu ashakufaaa tayariiiii
 
Shoga we acha tu, wamalizane bwana sie tuendelee na mipango yetu ya msiba.
Halafu nimeikubali hiyo idea ya dera la purple. Mkija msibani mje na hela ya dera kabisaaaaa, mkopo sitakiiiii!
Ndani ya madira msiache kuvaa pensi make huu upepo he.....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom