Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 5,174
- 17,635
Wakuu!
Naomba ushauri wenu kwa hili jambo linalonisumbua kwa miaka kadhaa.
Ni zaidi ya miaka miwili sasa toka niachane na ex wangu, lakini bado namkumbuka sana. Kuna nyakati napitia picha zetu, nasikiliza nyimbo tulizozipenda, au kuna wakati napita sehemu tulizowahi kwenda pamoja, najikuta naingia kwenye hisia na mawazo mazito.
Nimejaribu kuendelea na maisha nje ya ex wangu, nimekuwa busy na kazi, nimejipa muda, hata kujaribu mahusiano mapya lakini bado kuna pengo fulani. Si kwamba nataka turudiane, ila sijui kwa nini bado haijaondoka kichwani na moyoni.
Mliwezaje au kuna mbinu yoyote mlitumia hadi mkawa huru kweli?
Au kuna hatua za kiakili/kiroho mtu anatakiwa kuchukua?
Naomba ushauri wa maana, si utani. Mental health ni kitu halisi.
Asanteni sana.
Naomba ushauri wenu kwa hili jambo linalonisumbua kwa miaka kadhaa.
Ni zaidi ya miaka miwili sasa toka niachane na ex wangu, lakini bado namkumbuka sana. Kuna nyakati napitia picha zetu, nasikiliza nyimbo tulizozipenda, au kuna wakati napita sehemu tulizowahi kwenda pamoja, najikuta naingia kwenye hisia na mawazo mazito.
Nimejaribu kuendelea na maisha nje ya ex wangu, nimekuwa busy na kazi, nimejipa muda, hata kujaribu mahusiano mapya lakini bado kuna pengo fulani. Si kwamba nataka turudiane, ila sijui kwa nini bado haijaondoka kichwani na moyoni.
Mliwezaje au kuna mbinu yoyote mlitumia hadi mkawa huru kweli?
Au kuna hatua za kiakili/kiroho mtu anatakiwa kuchukua?
Naomba ushauri wa maana, si utani. Mental health ni kitu halisi.
Asanteni sana.