Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,517
AMINA. Nahisi nimeishiwa na maneno!!
Kuna wanaume wenzangu wamepewa moyo wa kishetani. walahi tena.
AMINA. Nahisi nimeishiwa na maneno!!
Thread Closed!!!
Naomba kwa Mwenyezi Mungu huyo mwanamke asiye na hatia asipite hapa akaisoma hii thread.
Watu wote wenye mapenzi mema na tuseme AMINA.
cc charminglady
thread closed!!!
Naomba kwa mwenyezi mungu huyo mwanamke asiye na hatia asipite hapa akaisoma hii thread.
Watu wote wenye mapenzi mema na tuseme amina.
Cc charminglady
Imagine ingekua ni wewe umepata tatizo...... hujafa hujaumbika brother.
Akitoka hospital mpeleke akafanyiwe maombi. Labda walimwengu hao
Kuna wanaume wenzangu wamepewa moyo wa kishetani. walahi tena.
Bora na ww umeona. Kuna watu hawana mioyo jamani bali mawe! Inahuzunisha sana kua na mwanaume wa hivyo.
Watu hapa ni kama hamjanielewa hivi! Suala si kumtelekeza, nampenda xana ila ninahisi kama namuumiza moyo na matatizo anayopata...hakuwahi kuyapata kipindi akiwa alone ila alipokuja kwangu ndio matatizo yanamwandama...hamuoni hapo nina shida?
Thread Closed!!!
Naomba kwa Mwenyezi Mungu huyo mwanamke asiye na hatia asipite hapa akaisoma hii thread.
Watu wote wenye mapenzi mema na tuseme AMINA.
cc charminglady