Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
Wakuu habari zenu...
Kwa mara nyingine tena naomba tushirikishane kimawazo maana kichwa changu kwa sasa kimeishia hapo kwenye heading.
Mnakumbuka thread yangu ya kitambo niliyoweka kwa headibg ya " kuoa ni lazima" na matatizo niliyopitia ya kuondokewa na watoto wawili kila mmoja akifariki kwa style ile ile ya kufa siku ya kujifungua.
Pamoja na matatizo meengi ya mke wangu kubleed mfululizo. Sasa jana pia imetokea hali ambayo kwa kweli nilifikia hatua ya kukata tamaa kabisa, siku ya alhamis nilisafiri nikaenda Dar kuchukua mzigo wangu na nilimwacha wife akiwa yuko salama kabisa, ile nafika tu dar nikapigiwa simu na wife akinambia ameanza kutokwa na damu(bleed) tofauti kabisa na siku zake kwani aliishamaliza tangu tarehe 7 mwezi huu.
Basi tukafanya taratibu za kuweza kufika hosp na akapata huduma na akarudi home. Sasa jana ndio ilikuwa balaa maana damu zilianza kutoka kwa kasi ya ajabu kiasi kwamba hata akuweka khanga ilikuwa inajaa damu muda mfupi tu na akawa anakosa nguvu na pumzi, nilimkimbiza hosp na tulipofika wakamfanyia ultrasound wakadai cevix ilifunguka na wakamlaza na usiku walimwingiza thearter kwa tiba zaidi. Nashukuru mungu amepata nafuu kiasi.
Sasa napata mawazo sana juu ya wife na matatizo anayoyapata nawaza the best way ambayo haitamuumiza wala sitaumia mimi, maana kwakweli nimefikia mahali nimechoka kwakila namna. Mnakumbuka nilipoteza kazi kwa ajiri ya kumuuguza, sasa sijui tuishi tusifanye lolote ili nisidisturb tena mfumo wake wa uzazi ama sijui tuachane tu.
Am real tired with this life.
Kwa mara nyingine tena naomba tushirikishane kimawazo maana kichwa changu kwa sasa kimeishia hapo kwenye heading.
Mnakumbuka thread yangu ya kitambo niliyoweka kwa headibg ya " kuoa ni lazima" na matatizo niliyopitia ya kuondokewa na watoto wawili kila mmoja akifariki kwa style ile ile ya kufa siku ya kujifungua.
Pamoja na matatizo meengi ya mke wangu kubleed mfululizo. Sasa jana pia imetokea hali ambayo kwa kweli nilifikia hatua ya kukata tamaa kabisa, siku ya alhamis nilisafiri nikaenda Dar kuchukua mzigo wangu na nilimwacha wife akiwa yuko salama kabisa, ile nafika tu dar nikapigiwa simu na wife akinambia ameanza kutokwa na damu(bleed) tofauti kabisa na siku zake kwani aliishamaliza tangu tarehe 7 mwezi huu.
Basi tukafanya taratibu za kuweza kufika hosp na akapata huduma na akarudi home. Sasa jana ndio ilikuwa balaa maana damu zilianza kutoka kwa kasi ya ajabu kiasi kwamba hata akuweka khanga ilikuwa inajaa damu muda mfupi tu na akawa anakosa nguvu na pumzi, nilimkimbiza hosp na tulipofika wakamfanyia ultrasound wakadai cevix ilifunguka na wakamlaza na usiku walimwingiza thearter kwa tiba zaidi. Nashukuru mungu amepata nafuu kiasi.
Sasa napata mawazo sana juu ya wife na matatizo anayoyapata nawaza the best way ambayo haitamuumiza wala sitaumia mimi, maana kwakweli nimefikia mahali nimechoka kwakila namna. Mnakumbuka nilipoteza kazi kwa ajiri ya kumuuguza, sasa sijui tuishi tusifanye lolote ili nisidisturb tena mfumo wake wa uzazi ama sijui tuachane tu.
Am real tired with this life.