Natamani hata ningekufa leo !

Natamani hata ningekufa leo !

Natamani nikutukane.
Iila watu Huwa wanapitia magumu Sana katika maisha. Ukiona hujawahi kupitia changamoto kubwa shukuru sana Mungu. Mtu Anapoima solution zote zimegoma akili inabadilika kabisa
 
Kukufuru ndio kufanyaje?
Kukufuru ni kusema, kuandika au kufanya jambo linalochukuliwa kuwa la kumdharau, kumtukana au kumkosea heshima Mungu, dini, vitu vitakatifu au imani za kidini.
Kwa mfano:
Kumtukana Mungu kwa makusudi.
Kukejeli au kudharau mambo matakatifu ya dini.
Kutoa maneno yanayoonekana kupinga au kukashifu imani za kidini kwa njia ya dharau.
Maana yake inaweza kutofautiana kidogo kulingana na dini au utamaduni husika, lakini kwa ujumla kukufuru huhusishwa na kudhalilisha au kukosea heshima mambo ya dini au Mungu.
 
Iila watu Huwa wanapitia magumu Sana katika maisha. Ukiona hujawahi kupitia changamoto kubwa shukuru sana Mungu. Mtu Anapoima solution zote zimegoma akili inabadilika kabisa
Ujue mtu huchukulia jambo fulani kirahisi kwa sababu halimgusi yy moja kwa moja
 
Kama n kuhusu mapenzi, itabidi tukushike tukucharaze viboko Upate akili
 
mi sijawahi na sitaki wala sihitaji ije initokee
 
Iila watu Huwa wanapitia magumu Sana katika maisha. Ukiona hujawahi kupitia changamoto kubwa shukuru sana Mungu. Mtu Anapoima solution zote zimegoma akili inabadilika kabisa
Gumu gani wewe ulipitia ukiwa na myaka 8 hadi 9 au ulijifunza kunywa sumu kwenye movie ya misukosuko.!
 
Back
Top Bottom