Natamani hata ningekufa leo !

Natamani hata ningekufa leo !

Death is not a solution hata siku moja ila ni njia ya kuumiza wengine zaidi, MTAFUTE MTU UMWAMBIE TATIZO LAKO. hata kama hata kupa msaada itakusaidia sana wew.
 
Death is not a solution hata siku moja ila ni njia ya kuumiza wengine zaidi, MTAFUTE MTU UMWAMBIE TATIZO LAKO. hata kama hata kupa msaada itakusaidia sana wew
Omba upate watu sahihi wa kuwaambia matatizo if not watukupa pressure hatary
 
Ni stori ndefu, baba alifariki na maisha yaka-change Sana, kila siku ilikuwa ngumu sana.
But mpaka sasa upo mashallah mungu akufanyie wepesi never lose hope always
 
Back
Top Bottom