The ghost writer
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 589
- 1,105
Kifo chako kitakujia wakati ukifika. Yanini tena uwaze kujiua?
Ushazaa kwanza au unakufa bila kuacha copy yako hapa duniani?Ndio different choice in life Acha tu mkuu
Safi hatujaumbwa na kuzaliwa ili kuja kutafuta kifo Well saidKuna age mtu akifika hili wazo linamtawala kichwani, anaona kifo ndio suluhisho pekee la changamoto kwenye maisha yake.
Akumbuke hakuna changamoto isiyo na majibu hapa duniani, hiyo unayoiona mpya kwako, ujue yupo mwingine alishaipitia akaivuka salama.
Ongea na wakubwa zako, tafuta wawili au watatu zungumza nao kwa namna ya kuwadadisi mambo tofauti maishani, then chomekea hiyo changamoto yako uone utajibiwa nini.
Chagua kuishi ndio maana ulizaliwa, hukuzaliwa ili uje kutafuta kifo duniani. Wapo wanaokuona una thamani kwao, usiwaangushe.
Kabisa yaani, nashangaa kwa nini baadhi ya watu wanawatishia wengine kujinyonga.Ukifa huna lako na watu watakusahau
Umetamani ww alafu unatuuliza sisi?!Hivi ulishawahi kufikia hatua ya kumkufuru mungu akuchukue yaani ufe! Why ulifikia uamizi huo !
Ni Kweli depression inaua kuliko kifo chenyewe. Kufa ni dk tu lakini depression uenda Hadi Miaka na Miaka bila kuisha. Mungu atuepushe na majaribu ya aina hii.Kuna muda depression zinapelekesha mno ndo maana unasikia fulani kajinyoga maisha kuna muda yanachapa omba mungu atunusuru na mawazo hayo
Ndugu mdau,Hivi ulishawahi kufikia hatua ya kumkufuru mungu akuchukue yaani ufe! Why ulifikia uamizi huo !
I second you,Sio siku nyingi nimewai kuwaza nini faida ya maisha, nini faida ya haya mahangaiko yote? Sikuona faida, hatutosheki na ile kiu ya kutafuta kila siku ndio inatupa sababu ya kuendelea kuishi mpaka tunazeeka na kufa.. vipi kama ukipata kila kitu of course maisha yatakua yanaboa kama vile tungekua tinaishi milele pia yangekua yanaboa mana hakuna jipya.
Angalia system ya maisha ilivyo ya kipumbavu, tunaangaika kuijenga dunia na kuwa na watoto kujenga legacy ili tukiwa hatupo watukumbuke, lakini ukifa hatukumbuki hata vizazi viwili vya ukoo wetu vilivyotutangulia, hatuna family tree, hatujui asili yetu, aliyekufa miaka 10 na aliyekufa mwaka uliopita hawana tofauti wote wamesaulika.
Kama kungekua kuna nafasi ya kuchagua kuzaliwa ama kutokuzaliwa.
Nisingechagua kuwa hapa, nisingechakuwa kuishi.
Watu wanayatukuza maisha kama vile ni jambo jema sana.
Maisha yana faida gani?
Watu wanaumwa, wanakufa, wanakosa haki zao, wanabakwa, wanaibiwa, wanaumizwa, wakati kuna watu wanakula mpaka wanasaza, kuna watu wanalala njaa, wakati kuna watu ni mwezi wa tatu wako muhimbili wanasubiri foleni ya MRI na wengine wanakufa hata hawajapata vipimo na matibabu na kuna mwingine anakwenda kufanya check up London. Na wote tunaona ni sawa na ndio maisha ambayo tunayatafuta hayana usawa wala haki.
Tuishi tu
ThanksI second you,
Me tooThanks
Jamaa wa ndoa kaacha tabia ya ubakaji! ?Hivi ulishawahi kufikia hatua ya kumkufuru mungu akuchukue yaani ufe! Why ulifikia uamizi huo !