Natamani hata ningekufa leo !

Natamani hata ningekufa leo !

So ww huna dini mkuu or
Dini ni nini mkuu?
Ningezaliwa india,china,Thailand n.k ningekua naamini nini? Kabla haja mzungu na mwarabu babu zetu walikua wanaabudu nini? Of course Mungu yupo, naamini kwenye matendo mema sio madhehebu na dini.
Pia natumia akili yangu vyema kutafakari mambo ya msingi ile hali sikufuru.
 
Dini ni nini mkuu?
Ningezaliwa india,china,Thailand n.k ningekua naamini nini? Kabla haja mzungu na mwarabu babu zetu walikua wanaabudu nini? Of course Mungu yupo, naamini kwenye matendo mema sio madhehebu na dini.
Pia natumia akili yangu vyema kutafakari mambo ya msingi ile hali sikufuru.
Nimekupata mkuu ,perception I won't argue
 
Back
Top Bottom