Dini ni nini mkuu?So ww huna dini mkuu or
Nimekupata mkuu ,perception I won't argueDini ni nini mkuu?
Ningezaliwa india,china,Thailand n.k ningekua naamini nini? Kabla haja mzungu na mwarabu babu zetu walikua wanaabudu nini? Of course Mungu yupo, naamini kwenye matendo mema sio madhehebu na dini.
Pia natumia akili yangu vyema kutafakari mambo ya msingi ile hali sikufuru.