-Nsyuka
-Chite Ukae.
Ukitaka kulio angalia yale mashindano ya talents kama AGT, ukiona wazazi wa contestants wanalia na wewe liunge
Queen & SlimYaani nikiwa naitazama ifike hatua mpaka nitoe machozi ni movie gani inaweza nitoa machozi.
Inahusu nini hii?
Yeah, mbwa alikaa pale stesheni miaka sijui 9 ile akimsubiri boss wakeBro nilibishana sana na workmates kuwa hakuna movie itakayobeba hisia zangu mpaka nilie, lakini hii movie ilinitoa machozi. Sijawahi ona upendo kama ule wa mbwa kwa mtunzi wake.
Naskia sanamu ya yule mbwa ipo mpaka leo pale railway station.
Ntaspoil, itafute itazame.Inahusu nini hii?