Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,752
- 13,401
hii movie ngoja nije niitafteMiracle in the cell
hii movie ngoja nije niitafteMiracle in the cell
A walk to rememberYaani nikiwa naitazama ifike hatua mpaka nitoe machozi ni movie gani inaweza nitoa machozi.
Inaitwa RED VALENTINEKwa bongo movie kuna movie wema na kanumba wameigiza kanumba akiwa malaya coz wema alikuwa hazai, jamaa alikuwa anampiga balaaa mwisho wasiku kanumba akabambikiwa mtoto na dem wa nje baadae akagundua yeye ndo hana uzazi ila huku wema mjamzito ss badala yake ukazuka ugimvi mpya wa mimba ya nani ila mwisho mimba ilikuwa ya kanumba
Aje inbox etiNjoo inbox
Hakuna namna!Aje inbox eti
Hapo mwisho umeuaKuna movie ya Suniel Shetty inaitwa Dhadkan. Jaribu hii movie ila ili ulie unatakiwa uwe na concentration na ukimya wa kutosha. .
A uangalie nyimbo za kumuomboleza Magufuli na movie ya msiba wake utalia sana unaweza lia mpaka ukakauka maji mwilini. .
Ulilia na utu uzima huo?!Ile movie nililia kama mtoto aisee
inaitwa BAJRANGI BHAIJAANJanwaar ya Akshay Kumar.
Na ile ya Salman Khan na mtoto BUBU.nimesahau jina lake.
Hata kuch kuch Hotae inaweza kumtoa machozi. Hiyo nayo iko vizuri.Kuna movie ya Suniel Shetty inaitwa Dhadkan. Jaribu hii movie ila ili ulie unatakiwa uwe na concentration na ukimya wa kutosha. .
A uangalie nyimbo za kumuomboleza Magufuli na movie ya msiba wake utalia sana unaweza lia mpaka ukakauka maji mwilini. .
Yule wa India ?Angalia na Lion,
Yule Mtoto alinitoa chozi
Hii ni movie ya zamani ya ki South dah umenikumbusha mbali saana.Tsotsi