Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 7,145
- 26,702
Ujinga ni huo uliofanya mwanzo ukajiona gangwe hutaki uswahiba na mtoto angalia sasa unatapatapa kutafuta ku hack simu. Ungekuwa ni ujanja si ungekuwa umemu win mtoto na katulia.Kuanza uswahoba na mtoto ni ujinga tena utamfanya akudharau mm reasoning ili hata nikimuweka chin nijue naongea nae nn na nn ?
Acha ubishi we jamaa. Huo undezi wa kukataa uswahiba na mtoto ndio umekufikisha hapo unataka kupata pressure. Sasa badili mtazamo wako au kama vipi endelea kujifanya swaziniga kwa mtoto kaza hivyo hivyo alafu utaona