Hivi unajua why watu wanakuwa matajiri? ni kwa sababu wanawekeza kwenye eneo lenye risk kubwa na huwa wanakopa na watu huwa wanashangaa why huyu kawekeza kwenye hiki kitu then baadae watu wanasema ningejua! ila inakuwa too late. Personally namfahamu mtu ambaye alikopo 100M back then akanunua bitcoin kitambo hicho zinauzwa around TZS 11,000 leo hii BItcon moja ni TZS milion 307 na huyu jamaa ana bitcoin 9000 plus then zidisha hapo uone atakuwa ana TZS ngapi kwa sasa. na hajaziuza mpaka leo maana ana price target yake ambapo huwa anasema very soon zitafika.
Nakumbuka hata Dangote alikopa dola 3,000 kwa mjomba wake Alhaji Aminu Dantata mwaka 1977 na kuanza biashara akiwa hana uzoefu wowote wa biashara