Sipendi Uchawa
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,942
- 12,506
Ukilima matikiti kupitia WhatsApp group, ndani ya mwezi mmoja tu unakuwa trilionea (wakati huo anayekuhamasisha/roll model wako ni motivation speaker)Nimeona UTT inajadiliwa sana kuna mmoja amesema ukiwekeza mil 50 kila mwezi utapata faida ya 400k,
Nataka nikope mil 50 NIWEKEZE UTT ili zile faida za 400k
Kila mwezi nirejeshe benki mwisho wa siku niwe na mil 50 zangu UTT na deni nimemaliza
Ila ukiingia shambani ukaanza maandalizi, utagundua hata mtaji uliopigia budget hautoshi