Nataka nikope benki niwekeze UTT

Nataka nikope benki niwekeze UTT

Mmmh japo sio mtaalamu wa maswala ya fedha ila mbona kama riba ya mkopo itazidi faida ya UTT
Ni kweli faida ya UTT ni wastani wa asilimia 12. Na mkopo wa mshahara Kwa mfano ni asilimia 17.

Ikiwa utakopa mkopo wa mshahara say wa miaka 10 na kuweka pesa zote utt na ku-reinvest zile riba za utt mpaka mkopo wa benki unaisha utakua umepata faida.

Kwa mkopo wa 50M, utapata jumla ya 155M from Utt.
 
Riba ya mkopo wa Benki ni asilimia 16-17 kwa mwaka..
Riba ya uwekezaji UTT ni asilimia 12 kwa mwaka..
Itahitaji miaka 5-7 kumaliza mkopo na kuanza kuona faida
 
Ni kweli faida ya UTT ni wastani wa asilimia 12. Na mkopo wa mshahara Kwa mfano ni asilimia 17.

Ikiwa utakopa mkopo wa mshahara say wa miaka 10 na kuweka pesa zote utt na ku-reinvest zile riba za utt mpaka mkopo wa benki unaisha utakua umepata faida.

Kwa mkopo wa 50M, utapata jumla ya 155M from Utt.
Bank gani inakopesha hiyo milion 50 kwa marejesho ya moaka 10?
 
Riba ya mkopo wa Benki ni asilimia 16-17 kwa mwaka..
Riba ya uwekezaji UTT ni asilimia 12 kwa mwaka..
Itahitaji miaka 5-7 kumaliza mkopo na kuanza kuona faida
Ila huyu mleta mada huenda ana hoja.

Hebu tu assume umekopa hiyo 50m ukajenga nyumba ya kupanga. Je, ndani ya miaka 7 itakua imerudisha hela ili uanze kupata faida?
 
Chukua mkopo ufanye biashara

Hakuna pesa za bure.
Wala sio pesa za Bure. Ni investment umefanya. Na investment inalipa kidogo but handsomely ukiipa long term mfano miaka 10 na kuendelea
 
Ukiweka utt 50m
Kwa mwezi utapata faida ya 500k
Kwa mwaka ni 6m

Je marejesho ambayo utakuwa unarudisha kwenye huo mkopo utatoa wapi???

Na kama utakuwa unakatwa kwenye mshahara then what?

Ushauri wangu weka kila mwezi laki mbili kwa miaka 15 utapata si chini ya 55m
Akiweka laki mbili Kila mwezi Kwa miaka 15 atapata jumla ya 102M.

P.s. faida ya Kila mwezi asiichukue. Anaiwekeza tena mpaka miaka yote.
 
Nimeona UTT inajadiliwa sana kuna mmoja amesema ukiwekeza mil 50 kila mwezi utapata faida ya 400k,

Nataka nikope mil 50 NIWEKEZE UTT ili zile faida za 400k

Kila mwezi nirejeshe benki mwisho wa siku niwe na mil 50 zangu UTT na deni nimemaliza
Kuwa makini mkuu, au piga hesabu tena kabla hujafanya
 
Mkuu umeangalia upande mmoja tu. Angalia pande zote ni yupi ana riba nafuu vinginevyo deni lako huko benki litakuletea msongo wa mawazo ufe siku si zako.
 
Ukiweka utt 50m
Kwa mwezi utapata faida ya 500k
Kwa mwaka ni 6m

Je marejesho ambayo utakuwa unarudisha kwenye huo mkopo utatoa wapi???

Na kama utakuwa unakatwa kwenye mshahara then what?

Ushauri wangu weka kila mwezi laki mbili kwa miaka 15 utapata si chini ya 55m
15
Amekuwa Mungu
Ana uhakika atakuwa hai
 
Kopen tu
Tunawazooom
Na marejeshooo
 
Nimeona UTT inajadiliwa sana kuna mmoja amesema ukiwekeza mil 50 kila mwezi utapata faida ya 400k,

Nataka nikope mil 50 NIWEKEZE UTT ili zile faida za 400k

Kila mwezi nirejeshe benki mwisho wa siku niwe na mil 50 zangu UTT na deni nimemaliza

Riba ya benki (wastani wa 18% kwa mwaka) ni kubwa kuliko faida ya UTT (wastani wa 13% kwa mwaka. Utapata hasara.
 
Back
Top Bottom