Nataka nifumue ukweli kuhusu 666

Mkuu Lwiva kama sijakosea kwenye huu uzi ulisema kuwa ukiwa darasa la saba ukagundua kuwa mungu yupo na ndio ukawa mwisho wako wa kwenda kanisani. Kwanini ilikuwa hivyo wakati makanisa ndio yanahimiza na kufundisha njia zinazompendeza mungu but wewe ukaacha kwenda
Yesu siyo mkatoliki wala msabato wala mlokole chimbuko la madhehebu ni upotevu tu
 
We jamaa ni Mwongo bibilia inasema alama ya Mnyama ni Namba ya kibinadamu yaani sio Fumbo. Sasa weww unatwambia namba 666 ni herufi wakati inaeleweka ni 666?
Sasa si ndiyo mwili wa binadamu ....yaani ni hesabu ya kibinadamu maana yake ni mwili wako ndiyo hiyo hesabu
 
Yesu siyo mkatoliki wa msabato wala mlokole chimbuko la madhehebu ni upotevu tu
Sasa mbona referrences zako nyingi unatumia bible na inaonesha unaiamini sana wakati bible ni ya hayo madhehebu unayoyapinga wewe
 
Haya tuambie weee hiyo 666 ni nini ? Nikupige swali moja tu
Atakuambia anakuja na bado anapika hoja. Yaani tangu uzi uanze hadi leo page ya 25 hajamaliza kupata au kuaandaa hoja tu.

Inashangaza sana
 
Sasa mbona referrences zako nyingi unatumia bible na inaonesha unaiamini sana wakati bible ni ya hayo madhehebu unayoyapinga wewe
Wewe upo katika ujinga mkubwa sana nani kakudanganya hivyo ? Inawezekana biblia ikawa ya hayo makanisa ila mimi natumia injili siyo biblia
 
Wewe upo katika ujinga mkubwa sana nani kakudanganya hivyo ? Inawezekana biblia ikawa ya hayo makanisa ila mimi natumia injili siyo biblia
So injili ndio unaamini ni maneno ya mungu wa kweli ila mengine sio?
 
So injili ndio unaamini ni maneno ya mungu wa kweli ila mengine sio?
Kwa hiki tunacho zungumzia natumia injili pia kuna torati na vitabu vingine....kwani kabla ya biblia watu walitumia nini vitabu vya dini vipo kabla ya kitabu cha biblia sijui kama unajua biblia ni nini ?
 
Sasa si ndiyo mwili wa binadamu ....yaani ni hesabu ya kibinadamu maana yake ni mwili wako ndiyo hiyo hesabu
😅😅😅haihitaji tafasri nyingine maana kashasema ni namba ya kawaida tena ya kibinadamu nayo ni 666
Asije kutokea mhuni akakwambia sijui 666 ni kanisa au ni Mtu.
Yesu kashasema ni alama ya Mnyama.

Na huyo mnyama ni Utawala wa dunia ktk nyakati za Siku za mwisho.

Yohana anaambiwa mambo haya ninayokufunulia yatie mhuri maana hayakunusu ni mambo ya siku za mwisho.

Sasa hawa wasabato tangu miaka 1500 wanatuhubiri haya haya eti ni Papa wakati Papa amemuwpo tangu miaka 300s
Yohana anapewa ufunuo miaka 100 baada ya Kristo.
 
Hiyo ya Sauli ni kweli, sasa Sauli alishapewa maagizo moja kwa moja kutoka kwa Mungu, ile ilikuwa ni exceptional hivyo huwezi kutumia kisa cha Sauli kuhalalisha kuwa kuua haikuwa dhambi! Na ndiyo maana ilikuwa ukiua nawe ilikuwa unauawa kama sheria ya Torah ilivyosema. Kuhani mkuu alikuwa akiingia kila mwaka mara moja ili kuwaombea watu toba kwa Mungu dhidi ya dhambi.
Sikusema kuua siyo dhambi ...nilichosema hiyo amri watu awaielewi nini maana yake ...hata amri ya 5 ya waeshimu baba yako na mama yako imepotoshwa maana ...kama ilivyo potoshwa hiyo ya usiue ...siku nyingine nitaonyesha upotovu wa kimaana ulio kwenye amri ya 5 ....swali je daudi alipo muua goliati alipokea amri kwa mungu ?
 
Sikusema kuua siyo dhambi ...nilichosema hiyo amri watu awaielewi nini maana yake ...hata amri ya 5 ya waeshimu baba yako na mama yako imepotoshwa maana ...kama ilivyo potoshwa hiyo ya usiue ...siku nyingine nitaonyesha upotovu wa kimaana ulio kwenye amri ya 5 ....swali je daudi alipo muua goliati alipokea amri kwa mungu ?
Hapana hakupokea!
Nami nakuuliza swali, kwa nini Mungu alikataa Daudi amjengee hekalu kwa sababu alikuwa ameua watu wengi?
 
Hapana hakupokea!
Nami nakuuliza swali, kwa nini Mungu alikataa Daudi amjengee hekalu kwa sababu alikuwa ameua watu wengi?
Swali lako zuri sana ilo ulilo uliza maana na mimi nilitaka kuja kukuambia uongo wa wakristo wa leo na ndani yake kulikuwa na ilo la daudi kukataliwa kujenga hekalu ...maana ndani ya ilo swali lako ndiyo tutajua uongo uliopo leo makanisani kuhusu sadaka ya fungu la kumi...na kuhusu kuua hata selemani aliua mpaka ndugu wa familia yake ...ila hilo swali lako nimelipenda maana hata mimi ninaposema sadaka ya fungu la 10 ya makanisani ni upotovu na ufisadi wa viongozi wa dini hoja ina anzia hapo kwa daudi kukataliqa kujenga hekalu ....wapo watu wanadhani Hekalu ni nyumba ya ibada ya kawaida kama zilivyo zingine hivyo wanapotoka ...Hekalu ni nyumba pekee na maalumu ya mungu tena ni moja tu ulimwenguni pote ...hata ukijenga nyingine kubwa au nzuri zaidi aziwezi kuwa HEKALU na fungu la kumi ni sadaka ya HEKALU siyo sadaka ya vinyumba vingine vyovyote vinavyo daiwa kuwa nyumba ya ibada ...fungu la kumi lilikuwa kwa ajili ya hekalu la mungu tu siyo masinagogi wala nyumba nyingine za ibada...nitakuja kueleza
 
Swali lako zuri sana ilo ulilo uliza maana na mimi nilitaka kuja kukuambia uongo wa wakristo wa leo na ndani yake kulikuwa na ilo la daudi kukataliwa kujenga hekalu ...maana ndani ya ilo swali lako ndiyo tutajua uongo uliopo leo makanisani kuhusu sadaka ya fungu la kumi...na kuhusu kuua hata selemani aliua mpaka ndugu wa familia yake ...ila hilo swali lako nimelipenda maana hata mimi ninaposema sadaka ya fungu la 10 ya makanisani ni upotovu na ufisadi wa viongozi wa dini hoja ina anzia hapo kwa daudi kukataliqa kujenga hekalu ....wapo watu wanadhani Hekalu ni nyumba ya ibada ya kawaida kama zilivyo zingine hivyo wanapotoka ...Hekalu ni nyumba pekee na maalumu ya mungu tena ni moja tu ulimwenguni pote ...hata ukijenga nyingine kubwa au nzuri zaidi aziwezi kuwa HEKALU na fungu la kumi ni sadaka ya HEKALU siyo sadaka ya vinyumba vingine vyovyote vinavyo daiwa kuwa nyumba ya ibada ...fungu la kumi lilikuwa kwa ajili ya hekalu la mungu tu siyo masinagogi wala nyumba nyingine za ibada...nitakuja kueleza
Nasubiri mkuu
 
Back
Top Bottom