Nani ulimsikia bange inaongeza hali ya kujiamini?Najiamini ila nataka kuongeza hali ya kujiamini ..
Rasta ndio penyewe na iman ya kirasta iwe naweweRasta jau mkuu ..
Kuna ile mtu anasema, "kama ukoo wenu au familia yenu hakuna aliyewahi kuvuta basi ukivuta wewe lazima uwe chizi".Kuna member hapo juu kasema kuwa, ngoma ikikukataa ndo mazima jalalani .. kuna ukweli wowote hapo ? ..
Chakula unacho..? Maana mjana nasikia rafiki yake njaa hayupo mbaliHaha wengine hatuzipendelei tunapenda low cut ..
Kitaani kwetu mbona wote tupo vizuri??Basi ndo Ivo Ivo mkuu katika watu 10 Saba wanauchizi,watatu wapo fresh
Mkuu tarime nasikia ipo hiyo kituMbona majani yenyewe wanachakachua me ndo maana niliacha kutumia lakini nikijua yalipo genuine nitaanza tena
Chakula kipo mkuu wala sio tatizo ..Chakula unacho..? Maana mjana nasikia rafiki yake njaa hayupo mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan ndio hapa bangi inaponishangaza muda mwngne unaweza kununa haitaki uongee,muda mwngne itakufanya ucheke bill sababu ya kuchekesha😁Bangi inachekesha ndugu yangu ukipaliwa bangi unaweza kucheka mpaka ukalia just imagine unaweza kucheka lisaa lizima kwa sababu tu umepaliwa moshi
Hivi mkuu umewahi au unataka kuanza?Hamna ni uoga tu, mjani hauna noma yoyote ..