Nataka niache advance PCB nahisi imenishinda

Nataka niache advance PCB nahisi imenishinda

wewe utakuwa mwanasaikolojia,
Mimi sio mwanasaikolojia!!

mmejaaa ma theory kibao,
Sio kweli!
kufeli,hata ukiweka vipanga watupu,kuna watakaofeli,ni nature.

ndio maana kuna IQ test,
Sijui unaongelea kufeli kwa namna gani, mimi nasemea! Sizani kama hao unawaita vipanga wanawaza pata zero au four!! Watatofautiana ila sio kwamba watafeli!
mtu akifata theory yako,ni kuwa kila mtu anascore the same kwenye hio scale,which is not true,
Sizani kama nimesema kila mtu atapata A au one! hii nilikua nasemea case yangu!! what happened to me!
na hao walimu kwa nini wanasoma psychology,kama kuna watu bado wanafeli???
Hili siwezi jibu maana linamgusa muhusika yaani mwalimu! na siwezi semea nafsi yake!!
 
Mimi sio mwanasaikolojia!!


Sio kweli!

Sijui unaongelea kufeli kwa namna gani, mimi nasemea! Sizani kama hao unawaita vipanga wanawaza pata zero au four!! Watatofautiana ila sio kwamba watafeli!

Sizani kama nimesema kila mtu atapata A au one! hii nilikua nasemea case yangu!! what happened to me!

Hili siwezi jibu maana linamgusa muhusika yaani mwalimu! na siwezi semea nafsi yake!!




sasa kigezo cha kufaulu ,si ndio hicho A au Division one???

haahaaaa,naona unakuja kwenye nature-nurture debate,sina muda huo mkuu,

huwezi kupima ufaulu kama ufeli haupo,

walimu wa psychology blah blah ni wewe ndie uliyaleta mkuu
 
Mleta mada narudia. Tafuta tuition ya hisabati ili uweze kufaulu physics. Pia hiyo topiki ya mechanics ina ugumu wake na ni pana sana. Soma topiki zingine za physics zilizopo form six ni rahisi sana kuzielewa ingawa lazima uelewe maths kwani kila topiki ya physics inahitaji ujue maths.

Kuhusu chemistry ni suala la kijiamini tu ni somo jepesi sana kuliko yote ya sayansi.
 
sasa kigezo cha kufaulu ,si ndio hicho A au Division one???
Ulisema "...kuna watakaofeli" na mikasema sizani kama wote watapata A au div One! na nikasema lazima watatofautiana ila sio kwa kufeli!! sijui kama ulielewa ndugu!!
huwezi kupima ufaulu kama ufeli haupo,
Ivi kama darasani mko wanafunzi kumi na wote mkapata one na two je kuna aliyefeli?? kama hamna kwanini umesema "huwezi kupima ufaulu kama ufeli haupo"???
walimu wa psychology blah blah ni wewe ndie uliyaleta mkuu
Mimi sio mwalimu achilia mbali huo alimu wa saikoloji!!
 
Annual co necta dogo km kweli unatia mxuli bas haungopi then advance cdhani km kuna haja ya kubase na mitihan ambyo haina topic zote ndo ikupe mwanga wa mtihani wa mwsho kwa sayansi ni kawaida sana ht mi nakumbuka hzo marks ila nliuxahau ucngzi kwa muda mwsho wa siku mungu kasaidia then unaxoma wap?
 
Ulisema "...kuna watakaofeli" na mikasema sizani kama wote watapata A au div One! na nikasema lazima watatofautiana ila sio kwa kufeli!! sijui kama ulielewa ndugu!!

Ivi kama darasani mko wanafunzi kumi na wote mkapata one na two je kuna aliyefeli?? kama hamna kwanini umesema "huwezi kupima ufaulu kama ufeli haupo"???

Mimi sio mwalimu achilia mbali huo alimu wa saikoloji!!

Theory yako angalia mwanzo kabisa ulisema kufeli ni 'kujijengea' na kama nilivyokuelewa wote wanaofeli ni kwamba they didn't work hard enough,huu sio ukweli,mimi na wewe tunajua hili,,,,,,

kama umekubali kuwa si wote watakaopata A then naona umekubali kuwa kuna 'kufeli',case closed.lol

by the way kupata division one or two,inawezekana isibebe uzito sana kama wengi walipata hilo daraja na kupita kwa mfanoA*................... kuingia mfano kwenye vyuo vizuri kama Cambridge,hivyo division one haikufanyi kuingia,

soon nakuachia huu mjadala wa kugombania kombe la mbuzi.
 
Usisahau kulizungumza hili na walimu wako. Wao wanakufahamu wewe vizuri kuliko sisi na pia wanauelewa mfimo wa shule yenu. Ukisha pata msaada wao changanya na haya ya JF na ufanye maamuzi. Hakuna shule rahisi lakini wapitapo wengine inatia moyo.
 
Theory yako angalia mwanzo kabisa ulisema kufeli ni 'kujijengea' na kama nilivyokuelewa wote wanaofeli ni kwamba they didn't work hard enough,huu sio ukweli,mimi na wewe tunajua hili,,,,,,
Hukuelewa nilichomaanisha! Ulielewa niliposema kujijenga nilimaanisha nini?? na ni kujijenga katika aspect ipi?
kama umekubali kuwa si wote watakaopata A then naona umekubali kuwa kuna 'kufeli',case closed.lol
Nimekubali sio wote watakao pata A ila sijamaanisha kwamba kuna atakayefeli kama ulivyoona wewe!! What i said ni kwamba patakua na variations za grades na sio kwamba watafeli!!! kwa kifupi hukunielewa!
by the way kupata division one or two,inawezekana isibebe uzito sana kama wengi walipata hilo daraja na kupita kwa mfanoA*................... kuingia mfano kwenye vyuo vizuri kama Cambridge,hivyo division one haikufanyi kuingia,
Sizani kama ulielewa ule ulikua ni mfano!
soon nakuachia huu mjadala wa kugombania kombe la mbuzi.
Sijaelewa!

Anyways, mada tuliyonayo hapa mezani kwamba mdogo wetu/mleta mada amepata maswahibu huko alipo, embu mpe na wewe mchango wako wa mawazo maana tukiendelea kubishana hatutafika mahali!!
 
Usisahau kulizungumza hili na walimu wako. Wao wanakufahamu wewe vizuri kuliko sisi na pia wanauelewa mfimo wa shule yenu. Ukisha pata msaada wao changanya na haya ya JF na ufanye maamuzi. Hakuna shule rahisi lakini wapitapo wengine inatia moyo.
Umeongea point ya msingi sana! Nadhani mleta mada atakuelewa!
 
Hukuelewa nilichomaanisha! Ulielewa niliposema kujijenga nilimaanisha nini?? na ni kujijenga katika aspect ipi?

Nimekubali sio wote watakao pata A ila sijamaanisha kwamba kuna atakayefeli kama ulivyoona wewe!! What i said ni kwamba patakua na variations za grades na sio kwamba watafeli!!! kwa kifupi hukunielewa!

Sizani kama ulielewa ule ulikua ni mfano!

Sijaelewa!

Anyways, mada tuliyonayo hapa mezani kwamba mdogo wetu/mleta mada amepata maswahibu huko alipo, embu mpe na wewe mchango wako wa mawazo maana tukiendelea kubishana hatutafika mahali!!

mmmmmnh mkuu seriously sijui tunabishana nini,theory yako kujijengea maana yake ni kutokazia masomo na kuisha confidence ambayo inampelekea mwanafunzi kufeli,kama nimekuelewa sivyo,then haina maana kuendelea kubishana wote kwa vitu visivyo na tija,.......................

sio wote watakaopata A,je ni nini kinachopelekea wasipate A kama wenzao??? according to your theory sio kwamba hilo ndio daraja lao,bali they didn't work hard enough,mmnh............................

kufaulu division two,katka wanafunzi waliopata A ni kufeli,sijui unataka kuipamba ili iweje,by the way nenda kwenye matokeo ya shule za vipanga,kama utakosa waliofeli,japo wachache....................

hapo chini ,nimemaanisha hatuendi popote na huu ubishi
 
FANYA MAAMUZI UPESI YA KUACHA MARA MOJA!!!!

wewe cyo wa kwanza!hiyo level ni wengi sana huwa na ugomvi wa nafsi,hasa matokeo ya napokuwa mabaya wakati anasoma hyo level!

kwanza nakupongeza kwa kuligundua hlo mapema na muda sahihi

pili, hata ukiendelea kusoma ni dhahiri kuwa div. zero haikwepeki katka mtihani wako wa mwisho.(NECTA)

Tatu, hata ukijitahidi saana ukaikimbia zero basi utapa div.Four au three ya mwishoni kabisa
ambapo ufaulu huo hautakupeleka POPOTE! na utaishia kurudi nyuma na kutumia cheti cha form four.

wewe tayari unabahati nzuri ya kufaulu form four (hauna cheti feki).kwa hyo mda wowote unaweza kwenda chuo,yaani college (hongera kwa hilo)

Mimi pia nimesoma hyo comb.(PCB),na ninajua mziki wake, ila nilimaliza na nina fanya kazi kwa sasa.
mbali na hilo nilikuwa na mdogo wangu ambaye na yeye alichukua comb. hiyohiyo.Kwa sababu ninajua ugumu wake niliamua kumwachisha!yaani asiendelee na kidato cha tano na nikatumia mtaji wa cheti chake cha form four sababu alikuwa na ufaulu mzuri,nikamfanyia application NACTE na ilikuwa miezi kama hiihii pale NACTE wanapofungua system yao.kwa hyo na ww waweza kufanya hvo mapema kabla nacte hawajaacha kupokea maombi(maana sasa hv wanapokea maombi hadi 23/8/2017)
kwa hyo fanya hvo kungaliko mapema!chagua course yeyote(kama ni CO,nursing,pharmacy,
dentist,radiology,na hata zile course za art na zingine kibao! kwny chuo unachokipenda!

kama wazazi wako wanao uwezo wa kukulipia karo,huu ushauri utakufaa sana lakini kama hawana uwezo!basi huna namna,subiri tu kufeli form six.
kwa hyo,sio kwamba uache shule sasa hivi,hapana,fanya application endelea kusoma huku ukisubiri kuchaguliwa na NACTE katika chuo husika(yaani hadi mwezi wa kumi).NACTE wakitoa umechaguliwa basi ndo unaacha rasmi na wasipokuchagua hyo mwezi wa kumi basi huna namna zaidi ya kuendelea cha sita huku ukisubiri div.zero,four au three ya mwishoni.ni juu yako kuamua mapema ili kusave time.
 
Usinikumbushe PCB... Kha


Nakushauri tu kama HUIWEZI PCB IACHE MAPEMAAA usije ukawa unapoteza muda wako bure

Me Olevel nilipata Physics-C Chemistry -B na Biology A ila nilivyoingia huko PCB mbona nilikomaaaa japokua mwishoni nilikuja kupata One lkn nilivyoteseka mungu pekee ndo anaejua. Na kilichokua kinanikost ni kama wewe nilikua napenda sana kukariri kwenye kusolve yale madude nilikuaga mvivu kweli ndo maaana kwenye Biology nilikua nafaulu sanaaa.

Kama huiwezi iache ndugu yangu ila km unaona unaimudu endelea nayo.
Chaguo ni lako.
 
Since nimeingia advance sijawahi kupata zaidi ya 50marks kwenye chem&phys zaid napataga kwa bios isitoshe mtihani wangu wa annul form five nimepata zero ffs respectively kwa pcb sasa nimekata tamaa kabisa nakuona hakuna ninachofanya zaidi ys kwenda kuzungusha form six 2018..hivyo rasmi nahitaji kuongea ba wazazi nitafute alternative ways ya kwenda collage nikachuke course nyingine

N.B sio kwamba sisomi nasoma tena sana ila sielewi kwanini inakuwa hivi
-pia o level nilifaulu vizuri tu kwa CCA in PCB
Akili yako tumebadilishana na vichwa vya treni
 
Anza kuacha simu na jf ndo utaiweza...mda wa prepo kasome
 
Simu ndo imekuharibu tangu lini mwanafunzi akawa ana simu na combi yake haina mchezo.
 
Una mwaka mmoja mbele bado una muda mzuri kurekebisha mambo kama utaamua.
 
Ushauri wa kuendelea na pcb hapa hautasaidia...mentality yako imeshajitune kushindwa!kama una ndoto za kua kweye field ya afya,hujachelewa kujiunga na vyuo vya CO's!
Kwa pcb advance izo ndio alama zake..mimi o'level pcb nlikua na DBC,ila advance nikapata BAD!!!sitakuja kusahau msuli YATIMA niliopiga those days!!
Sasa ni Medical Doctor,since 2013
 
Back
Top Bottom