muoga wa jf
Senior Member
- Jun 27, 2016
- 198
- 225
Since nimeingia advance sijawahi kupata zaidi ya 50marks kwenye chem&phys zaidi napataga kwa bios isitoshe mtihani wangu wa annul form five nimepata zero ffs respectively kwa PCB sasa nimekata tamaa kabisa na kuona hakuna ninachofanya zaidi ya kwenda kuzungusha form six 2018. Hivyo rasmi nahitaji kuongea na wazazi nitafute alternative ways ya kwenda collage nikachuke course nyingine
N.B sio kwamba sisomi nasoma tena sana ila sielewi kwanini inakuwa hivi
Pia o level nilifaulu vizuri tu kwa CCA in PCB
==========
MREJESHO(2023)
Wakuu kwa sasa nimerudi baada ya miaka kadhaa naomba nilete mrejesho.
Kiukweli sikuweza kuendelea na advance PCB nikaamua kwenda diploma ya afya kwa course ya Nursing and Midwifery, nikagraduate mwaka 2020.
Baada ya hapo nimeweza kufanya kazi hospital mbili moja dispensary Dar na nyingine mkoani Iringa hospitali ya mkoa.
Kwa sasa Tangu mwaka jana niko moja ya shirika kubwa la afya nikifanya kazi mbalimbali katika project zinazohusiana na research.
Hivyo sijajutia uamuzi nilioufanya kama itampendeza Mungu mwaka huu nitarudi kusoma bachelor ya physiotherapy Muhas au natafuta scholarship nikasome Public health bachelor nje.
Asanteni sana.
Narudi kwenye id yangu mpya...
N.B sio kwamba sisomi nasoma tena sana ila sielewi kwanini inakuwa hivi
Pia o level nilifaulu vizuri tu kwa CCA in PCB
==========
MREJESHO(2023)
Wakuu kwa sasa nimerudi baada ya miaka kadhaa naomba nilete mrejesho.
Kiukweli sikuweza kuendelea na advance PCB nikaamua kwenda diploma ya afya kwa course ya Nursing and Midwifery, nikagraduate mwaka 2020.
Baada ya hapo nimeweza kufanya kazi hospital mbili moja dispensary Dar na nyingine mkoani Iringa hospitali ya mkoa.
Kwa sasa Tangu mwaka jana niko moja ya shirika kubwa la afya nikifanya kazi mbalimbali katika project zinazohusiana na research.
Hivyo sijajutia uamuzi nilioufanya kama itampendeza Mungu mwaka huu nitarudi kusoma bachelor ya physiotherapy Muhas au natafuta scholarship nikasome Public health bachelor nje.
Asanteni sana.
Narudi kwenye id yangu mpya...