Nataka niache advance PCB nahisi imenishinda

Nataka niache advance PCB nahisi imenishinda

Tuna rudi pale pale kwenye "state of mind"!! wengi washajijengea hivyo!!

Na sio wao tu, hata mleta mada nae anashida hiyo ila SIO KWAMBA HAWEZI PCB!!

mmnh kwa hio watu wote wanaofeli ni 'state of mind' na sio kuwa ni kweli hawana uwezo huo?,,,,,na nini utupe sababu za watu kujijengea hivyo?
 
Unataka niambia madokta wote tanzania wana AAA ya PCB olevo?
C zinatofautiana sana ndio maana siwezi kushauri na ka C kako uende PCM/B unaweza kuta ulipata C ya 40 mwenzako ana C ya 57, hapo huwezi ingia kichwa kichwa
 
Km ulisoma private school ukafaulu hivyo na sasa uko gvt school lazma hali iwe tight brother
 
Mkuu we shuka kwenye hilo basi usije fika mwisho wa safari ukajikuta umesahau njia na kurudi kule ambako unaweza enda sasa
 
mmnh kwa hio watu wote wanaofeli ni 'state of mind' na sio kuwa ni kweli hawana uwezo huo?,,,,,
Yes, pia lazima ujue kufeli au kufaulu ni matokeo ya kilicho ndani yako (in your mind)!! Bahati mbaya ni kwamba hali yakufeli au kufaulu ina jengeka ndani/Mind ya mtu kwa muda mrefu mara nyingi bila kujua "unknowngly"!

Chukua huu mfano,

Nilipomaliza olevo, kwenye kuchagua kombi nilichagua kombi ambayo masomo yake sikuperform vizuri, nakumbuka nilipomwambia mwenzangu naenda kusoma kombi flani aliishia kunicheka! iliniuma lakini sikumwambia maana i knew what I wanted, na sikutaka marks ziniamulie future yangu!!

Nilianza form5 kwa nia/wazo moja tu, kupata division one!! sikua na mawazo ya two au three!! hii hali ilinijengea hali ambayo ilinifanya nisome sana, infact sio kusoma tu ila pia nili-enjoy kusoma!! so muda mwingi nilikua mimi na kitabu/daftari/past papers na muda mwingine utanikuta nafundisha wenzangu, simply because i enjoyed it!! kamwe sikusoma ili nitimize wajibu!!

Kweli kama utani nikajikuta naongoza darasa hasa nilipoingia form6, na mwisho nikamaliza na divion one kama nilivyoapa nikiwa naanza form5!!!

So thats it, tokea naanza nilijijengea mentallity ya kufaulu hasa baada ya kuchekwa na wenzangu kwa kombi nilikua nataka kusoma!!

na nini utupe sababu za watu kujijengea hivyo?

Si rahisi kama unavyodhani, hii inatakiwa iwe naturally, iwe from within! hii ni step ya kwanza!! Na ni rahisi sana kwa mwanafunzi anayejua anataka nini!! otherwise ni kuwapa motisha na kuwajenga kisaikolojia wanafunzi,hasa wale wanao/ waliokata tamaa!!

Kuwa mwanafunzi kua changamoto na ndio maana walimu wakawepo!! kampani ya mwanafunzi itachangia sana ku-determine his/her future! Marks tu hazitoshi kujua mwanafunzi huyu atafaulu au la, lazima mwanafunzi ajitambue na lazima ajue anahitaji maishani mwake!!
 
Achana nayo tu utakuja kuaibika na kupoteza muda bure...
Unaonekana ni slow learner umevamia meli ya wagiriki..
 
C zinatofautiana sana ndio maana siwezi kushauri na ka C kako uende PCM/B unaweza kuta ulipata C ya 40 mwenzako ana C ya 57, hapo huwezi ingia kichwa kichwa
Kuna jamaa nilisoma nae, katika darasa letu yeye ndiye alikua na maksi za chini, nadhani kwenye kombi yake alikua na C moja tu!! kwa kifupi hakua na "balanced combination"!! Ila alifaulu vizuri sana alevo na chuo kikuu alipangiwa moja ya vyuo vikubwa hapa Tz kwetu!! na sasa hivi ni mtu mkubwa tu kwenye kitengo flani !!
 
Yes, pia lazima ujue kufeli au kufaulu ni matokeo ya kilicho ndani yako (in your mind)!! Bahati mbaya ni kwamba hali yakufeli au kufaulu ina jengeka ndani/Mind ya mtu kwa muda mrefu mara nyingi bila kujua "unknowngly"!

Chukua huu mfano,

Nilipomaliza olevo, kwenye kuchagua kombi nilichagua kombi ambayo masomo yake sikuperform vizuri, nakumbuka nilipomwambia mwenzangu naenda kusoma kombi flani aliishia kunicheka! iliniuma lakini sikumwambia maana i knew what I wanted, na sikutaka marks ziniamulie future yangu!!

Nilianza form5 kwa nia/wazo moja tu, kupata division one!! sikua na mawazo ya two au three!! hii hali ilinijengea hali ambayo ilinifanya nisome sana, infact sio kusoma tu ila pia nili-enjoy kusoma!! so muda mwingi nilikua mimi na kitabu/daftari/past papers na muda mwingine utanikuta nafundisha wenzangu, simply because i enjoyed it!! kamwe sikusoma ili nitimize wajibu!!

Kweli kama utani nikajikuta naongoza darasa hasa nilipoingia form6, na mwisho nikamaliza na divion one kama nilivyoapa nikiwa naanza form5!!!

So thats it, tokea naanza nilijijengea mentallity ya kufaulu hasa baada ya kuchekwa na wenzangu kwa kombi nilikua nataka kusoma!!



Si rahisi kama unavyodhani, hii inatakiwa iwe naturally, iwe from within! hii ni step ya kwanza!! Na ni rahisi sana kwa mwanafunzi anayejua anataka nini!! otherwise ni kuwapa motisha na kuwajenga kisaikolojia wanafunzi,hasa wale wanao/ waliokata tamaa!!

Kuwa mwanafunzi kua changamoto na ndio maana walimu wakawepo!! kampani ya mwanafunzi itachangia sana ku-determine his/her future! Marks tu hazitoshi kujua mwanafunzi huyu atafaulu au la, lazima mwanafunzi ajitambue na lazima ajue anahitaji maishani mwake!!



ni kweli wanafunzi woote wanaofeli,ni kwamba wamejiwekea hivyo kwenye mind zao???jibu yes ama no,

ina maana tunahitaji motivational speakers kwenye mashule yetu eti/?? yes,no/

unasema mambo ya nature,hujui kwamba watoto wengine kufeli ni 'nature'? proccess?? kuwa hatuna uwezo sawa???!mmmmmmmmmmm
 
ni kweli wanafunzi woote wanaofeli,ni kwamba wamejiwekea hivyo kwenye mind zao???jibu yes ama no,
Kuna sehemu niliandika "...ni hali inayojengeka kwa muda mrefu" sizani kama ulipasoma! Pia kuna sehemu niliandika "...kufaulu/kufeli kunaanzia ndani ya mwanafunzi", so yes wengi wamejijengea hivyo!! Na mara nyingi wanapopata challenges za masomo!!

Hujawahi ona mwanafunzi anachagua masomo mawili tu kwenye kombi ya kusoma alafu lingine anaacha?? unadhan kwanini anacha hilo lingine? simple tu, ni kwasababu kashajiaminisha kwamba atalifeli tu hata iweje!!
ina maana tunahitaji motivational speakers kwenye mashule yetu eti/?? yes,no/
NO hawaitajiki! Lakini je umejiuliza kwanini walimu wanafundishwa saikolojia wakiwa chuoni?

unasema mambo ya nature,hujui kwamba watoto wengine kufeli ni 'nature'? proccess?? kuwa hatuna uwezo sawa???!mmmmmmmmmmm
Na hiyo "process" ya kufeli inaanzia kwenye mawazo ya mwanafunzi, ikichangiwa sana na mazingira ikiwemo kampani, kukatishwa tamaa and the alike!! Sasa ni wajibu wa mwalimu kuhakikisha anamjenga huyu mwanafuzi ili afaulu!
 
Bora umeliona mapema. . Don't waste time. . Fanya uamuzi sahihi
 
Unatataga mkuu kimbilia diploma fasta,ninayo experience na maneno yangu.
 
Dogo chuo utatiwa nyavuni kinoma, ukizubaa wanakula kichwa kabisa
 
Kuna sehemu niliandika "...ni hali inayojengeka kwa muda mrefu" sizani kama ulipasoma!

NO hawaitajiki! Lakini je umejiuliza kwanini walimu wanafundishwa saikolojia wakiwa chuoni?


Na hiyo "process" ya kufeli inaanzia kwenye mawazo ya mwanafunzi, ikichangiwa sana na mazingira ikiwemo kampani, kukatishwa tamaa and the alike!! Sasa ni wajibu wa mwalimu kuhakikisha anamjenga huyu mwanafuzi ili afaulu!according to you hao walimu wanasomea psychology,ili wawaandae wanafunzi,sasa wanafunzi bado wanafeli mbona???

wewe utakuwa mwanasaikolojia,

mmejaaa ma theory kibao,

kufeli,hata ukiweka vipanga watupu,kuna watakaofeli,ni nature.

ndio maana kuna IQ test,

mtu akifata theory yako,ni kuwa kila mtu anascore the same kwenye hio scale,which is not true,

na hao walimu kwa nini wanasoma psychology,kama kuna watu bado wanafeli???
 
Naomba nikupinge mkuu wangu, kosa sio msingi!! na ukichek mleta mada kasema alipata CCA ya PCB!!

Kinacho sumbua watu wengi ni kukata tamaa na kuona kwamba hawawezi tena!! kwa kifupi sio kwamba hawawezi ila hawana morali au motisha!! hili ndio linalowasumbua wengi!!

Nadhani lazima ifike mahali tuamini kwamba sisi sio wakamilifu, na pia tujaribu ku-share na wenzetu hasa wale wenye positive thinking, otherwise unaweza haribu kila kitu!
Unaweza ukapata AAA lakini bado ukawa na msingi mbaya. Kufaulu pekee hakumaanidhi una msingi mzuri.

Je. Ni kweli wote wanaofaulu huwa wanaelewa somo husika? Nitakupa mfano.

Nina zaidi ya miaka 16 tangia nipate degree yangu ya kwanza. Majuzi walikuja vijana kazini kufanya mafunzo kwa vitendo wakiwa mwaka wa pili wa degree yao ambayo ni sawa na ya kwangu.

Nilishindwa kuwaelewa pale nilipokuwa nawafafanulia uhusiano wa kazi na kile walicho kisoma. Tena niliwaambia hii ni application ya FARADAYS LAW. nikaona hawajanielewa. Nikawauliza kama wamewahi kuisoma hiyo kitu wakakubli. Lakini wakasema WAMESAHAHU INAHUSU NINI.....

Hii ni kwamba wamesoma na kufaulu lakini hawakuelewa. Tulioelewa huwa hatusahahu. Na huu ni mmoja wapo wa MISINGI YA KISOMA inayotokana na aina ya walimu pamoja na aina ya mazingira uliyosomea.

Ukifundishwa na mwalimu kilaza anayekariri usitegemee kuelewa. Tegemea kufaulu kwa kukariri. Lkini huko mbeleni lazima aliyeelewa atofautiane na aliyekariri au aliyeibia mtihani. Huwa haijifichi.

Kifupi tunao waajiriwa wa aina ya wanafunzi niliowataja hapo juu. Hawawezi kazi isipokuwa majungu wizi fitna na uchawi.
 
Pambana mdogo wng hyo phy f5 huwa inazngua sana hyo mechanics imesumbua wng mkuu endelea kusoma vitu vingne vinavyokubali mechanics sio lazma uisome yote hata mm mechanics ilinikatisha sana tamaa lkn nliweka nguv nying kwny topic nyingne nkapenya pepa ya f6
 
Back
Top Bottom