tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,324
Pole sana hii combination ilinitesa sana .Ni kweli ila vyote hivyo nafanya nasoma naelewa ukija mtihani chalii
Pole sana hii combination ilinitesa sana .Ni kweli ila vyote hivyo nafanya nasoma naelewa ukija mtihani chalii
Kwa povu hiliHaujui kipi unaongea go direct to point...unaelewa kwa muda gani nimetumia kusoma unajua shule ninayosoma unaelewa muda gani natumia simu je nikuambia leo ndo siku nimeamua kutumia simu ili niweze pata ushauri wenu.....unakuja kuandika upumbavu
Kijana kuna watu walilamba zero mock...na sasa ivi ni mainjinia!!Kinachonipa uoga nasoma sana na nina elewa na maswali nasolve mpaka nafurahia but since nikifika point ya mtihani duuuh...naishiwa nguvu hapa may nimepifa mock form five nimetoka na div 4 ya mwisho sasa naogopa kupotea form six
Masomo ya uchizi hayo,
kipindi hicho nasoma pcb tulikuwa tunairefusha people confused brain. Ila hii combi usipokaa vizuri unaweza kutaga.Kama huvijui bora ukatumia kiswahili tuu bwana mdogoI dislike that of people......unajifanya much know sana....u dont know which situation am pass

doh tupo wengi kumbe me nasubir nitoe zero six ndo nianze utararibu mwingine maana nyumbani hawaelewi kitu
siunapoteza muda mkuu!Hata hivi ingetokea physics kwa akili hii ingemkubali, mbeleni tungekuwa na mtaalam wa kiwango cha makenikiaYani bado uko hapa unajibishana na wazazi wako. Wenzio hivi sasa wanabukua. Nyie ndo mnachora picha za mazombie kwenye karatasi za mitihani.
hilo nalijua nkiwaeleza wanasema we nenda shule tu so nmeona bora nmalize kuliko kuwa na ugomvi na mzazi![]()
siunapoteza muda mkuu!
Mwenyewe nimemchoka. Mzazi wake ana kazi sana...Hata hivi ingetokea physics kwa akili hii ingemkubali, mbeleni tungekuwa na mtaalam wa kiwango cha makenikia
Mtoto wa aina hii sijui .........
hilo nalijua nkiwaeleza wanasema we nenda shule tu so nmeona bora nmalize kuliko kuwa na ugomvi na mzazi
kweliii kabisaa mkuu. ...Me piaa nlisoma PCM sikuwahii pata hata 50 pepar za ndanii na Mock nlizingua vibaya GPA 2.3 ila a sikukata tamaa kabisaa. ...niliongeza misuliii kabisaa misulii kwelii masaa 10 uko mezani unachqkaza chands na pure mwisho wa sikuu nilipiga one kama kawdaa. ....Advnce ndo iko ivoo lazmaaa uwe na roho ngumuu unachezea chachee unaongezaa misuliiMwanaume huwa hakati tamaa. Utakata tamaa kwenye masomo ukija mtaani baada ya kumaliza pia utakata tamaa pindi maisha yakienda ndivyo si yo?
Nilpokua advance, mzumbe sec nikichukua comb ya PCM nakumbuka mim na washkaj zangu hatukuwah kupata A toka tunaanza form 5.na hata jamaa aliyekuja kuwa T. O tulikua tunapata nae sawa tu 50,60, nk.
Tulikuja kupata A mtihani wetu wa mock, na hapo ndpo tulipopata nguvu na shule yetu.
Ninae mshkaji wangu alikua PCB ashawahi kupata 25 Phsics lakini sasa hv yupo CUBA anamalizia degree yake ya Udaktari. Kiufupi kupata marks chache kwa advance ni kawaida sana. Cha msingi kaza, hakikisha unasoma kwa kuelewa, fanya maswali mengi, mfate unayeona anakuzid kwenye masomo mwambie akufundishe usione aibu.
If possible uende college kwa cheti cha form four tena mwaka huu! Binafsi sipendi kulazimisha mambo
doh napigana mkuu lakn zkija pepa nakula fight for foodpigana mkuu,huku kitaani kubaya.
Wazazi tunakaziMwenyewe nimemchoka. Mzazi wake ana kazi sana...

CCA siyo vizuriSince nimeingia advance sijawahi kupata zaidi ya 50marks kwenye chem&phys zaid napataga kwa bios isitoshe mtihani wangu wa annul form five nimepata zero ffs respectively kwa pcb sasa nimekata tamaa kabisa nakuona hakuna ninachofanya zaidi ys kwenda kuzungusha form six 2018..hivyo rasmi nahitaji kuongea ba wazazi nitafute alternative ways ya kwenda collage nikachuke course nyingine
N.B sio kwamba sisomi nasoma tena sana ila sielewi kwanini inakuwa hivi
-pia o level nilifaulu vizuri tu kwa CCA in PCB
Wenzako walipata SIFURI kabisa!! Ila sasa ivi ni mainjinia!!doh napigana mkuu lakn zkija pepa nakula fight for food
mwaka mmoja umeisha nmekesha sana na mavitabu lakin cwez mudu kujib mtihan vizuri nmeamini o level ni rahisi kufauluWenzako walipata SIFURI kabisa!! Ila sasa ivi ni mainjinia!!
Acha kulalamika mkuu...uwezo unao, pambana!!!
Mkuu umekata tamaa, ukiweka niainawezekana! Inategemea na usomaji wako! Je unasoma kwa discussion au alone??mwaka mmoja umeisha nmekesha sana na mavitabu lakin cwez mudu kujib mtihan vizuri nmeamini o level ni rahisi kufaulu