Nataka niache advance PCB nahisi imenishinda

Nataka niache advance PCB nahisi imenishinda

Ni pale unapo kaza msuli halafu ajira huji kuipata dah...

komaa tu kibishi.. Na Mungu akutangulie upate ACB
 
Mkuu mi naomba nikushauri usome chemistry ni rahisi sana kufauli,na biology kila siku,atleast utaweza pata D's..Chemistry soma topic kama organic one,physical yote,electrochemistry soma vizuri kabisa..tafuta kitabu cha review cha mzumbe pitia maswali..

Biology soma biological science tu usiongeze kitu kingine na pitia past paper uone maswali yanavotoka,coordination cell biology,nutrition na trasport soma vizuri utafaulu paper 1

physics soma kidogo kidogo huku ukikomaa na practicals ili atleast upate walau S au E..current,a.c na mechanics hapa umeshapata marks paper 1.. wave,static electricity,electromagnetism kidogo na pia radioactivity,paper 2 pia unachukua marks

paper za advance za sasa hivi zinatoka kidogo simple sio kama za zamani jamani,naongea from experience,format ya mitihani iko poa sioni sababu ya kusoma vizuri pcb af ukakosa hata Three ya mwanzo..
 
Mkuu mi naomba nikushauri usome chemistry ni rahisi sana kufauli,na biology kila siku,atleast utaweza pata D's..Chemistry soma topic kama organic one,physical yote,electrochemistry soma vizuri kabisa..tafuta kitabu cha review cha mzumbe pitia maswali..

Biology soma biological science tu usiongeze kitu kingine na pitia past paper uone maswali yanavotoka,coordination cell biology,nutrition na trasport soma vizuri utafaulu paper 1

physics soma kidogo kidogo huku ukikomaa na practicals ili atleast upate walau S au E..current,a.c na mechanics hapa umeshapata marks paper 1.. wave,static electricity,electromagnetism kidogo na pia radioactivity,paper 2 pia unachukua marks

paper za advance za sasa hivi zinatoka kidogo simple sio kama za zamani jamani,naongea from experience,format ya mitihani iko poa sioni sababu ya kusoma vizuri pcb af ukakosa hata Three ya mwanzo..
Mkuu pepa ya mwaka Jana phyz uliiona au unaongea tu?
 
Ni kweli ila vyote hivyo nafanya nasoma naelewa ukija mtihani chalii
Mwanaume huwa hakati tamaa. Utakata tamaa kwenye masomo ukija mtaani baada ya kumaliza pia utakata tamaa pindi maisha yakienda ndivyo si yo?

Nilpokua advance, mzumbe sec nikichukua comb ya PCM nakumbuka mim na washkaj zangu hatukuwah kupata A toka tunaanza form 5.na hata jamaa aliyekuja kuwa T. O tulikua tunapata nae sawa tu 50,60, nk.
Tulikuja kupata A mtihani wetu wa mock, na hapo ndpo tulipopata nguvu na shule yetu.
Ninae mshkaji wangu alikua PCB ashawahi kupata 25 Phsics lakini sasa hv yupo CUBA anamalizia degree yake ya Udaktari. Kiufupi kupata marks chache kwa advance ni kawaida sana. Cha msingi kaza, hakikisha unasoma kwa kuelewa, fanya maswali mengi, mfate unayeona anakuzid kwenye masomo mwambie akufundishe usione aibu.
 
Mziki wa Advance ni mziki mwingine mkuu acha kabisaaaa
Chemistry ziko topics 4 tu lakini zinakutoa jasho
Ukigusa physics ndo hatareee
Ukija Bios bado vyura,panya na mende wanakudai dissection
Ukizunguka kidogo mara hibiscus flowers.
Ukigeuka pembeni kuna biological sciences(BS), kuna Chandi zinakusubiri, mara kuna Mzumbe Review Chemistry
Jamaa yako anatoka Dar anakuja na kitini cha Mbuga Organic Chemistry.
Lazima udateeee.


Nakushauri usipoteze time huko ukishaona mauza uza sepa ingia vyuo vya afya piga kitabu pata cha kufanya then jiendeleze kufikia malengo yako.

Ushauri wangu ni bure kabisa ila ukipuuza iko siku utakumbuka muda uliopoteza ikiwa umeshaona mambo ni tight
 
Hapo ndio utawaelewa ambao hutokea Form 4 na kujiunga direct chuoni for Diploma...PCB si comb ya kitoto so kama uliingia kwa kuunga unga ni hatari...usipoteze muda hapo...kama unapenda kusoma health related issues basi hujachelewa.....jiunge mwaka huu wa masomo utimize ndoto zako otherwise utaja juta tu mwishoni mwa Form 6.Wapo wengi wanaougulia kimyakimya...nakupongeza wewe kwa kuliona hilo na kuomba ushauri...Haya ni maoni yangu binafsi,yanaweza kukusaidia au either way...Pole sana dogo
Ushauri mzuri sana mkuu.....pata soda baridi nije kulipia,
 
Hamna kitu kirahis. PCB inaonekana ngumu sababu ndio kombi yenye masomo mengi zaidi. Kaza msuli hata HKL wapo wanaofeli. Best wishes
 
Since nimeingia advance sijawahi kupata zaidi ya 50marks kwenye chem&phys zaid napataga kwa bios isitoshe mtihani wangu wa annul form five nimepata zero ffs respectively kwa pcb sasa nimekata tamaa kabisa nakuona hakuna ninachofanya zaidi ys kwenda kuzungusha form six 2018..hivyo rasmi nahitaji kuongea ba wazazi nitafute alternative ways ya kwenda collage nikachuke course nyingine

N.B sio kwamba sisomi nasoma tena sana ila sielewi kwanini inakuwa hivi
-pia o level nilifaulu vizuri tu kwa CCA in PCB
Nakumbuka miaka hiyo nikiwa naingia form6. Daaah sio kwamba nilikua mbovu walaaaa!! Kwa kifupi kwenye top three nlikuepo...sijui kauwoga ka kubadilisha kombi kalitoka wapi jamn!! Daah!!

Basi kama kawaida...nikawaita masela wangu na kuwaambia wakuu mi nataka badilisha kombi!! Walibaki wananishangaa..."yani wewe unataka badili kombi??" hili lilikua swali lao!!

Hoja yao ya msingi ilikua kwamba nna uwezo wa kusoma pure na kama nikijaribu kubadilisha kombi nitawavunja moyo wenzangu hasa wale nlikua nao darasa moja!!

Kweli nikasitisha zoezi!! Nikaanza rasmi kupiga msuli kama kichaa!! Yaani ilikua kila siku maths lazima nisome!!!

Mwisho wa siku nikaanza kushika namba moja darasani...na zaidi ya yote nikapata one form six!!

Sasa wewe mleta mada amini usiamini...sio kwamba huwezi kusoma pcb...wewe ni muoga na unakatishwa tamaa na wenzako!!

Kosa kubwa ulilofanya ni kukubali kwamba huwezi!! Ukiweza badili hii mentallity utafaulu bila shida !

Jua kabisa kukata tamaa ni kosa kubwa sana!! Bado hujachelewa mkuu!!!

Jitahidi kuwa karibu na wale unaowajua wanajiweza darasan..piga nao discussion waombe mawazo...acha kukaa kupiga stories za kukatishana tamaa!! Acha kampan mbaya!!

Komaa inawezekana!! Its never too late!!
 
mkuu pepa ya mwaka Jana phyz uliiona au unaongea tu?
Niliiona na ndo nimeifanya..ugumu ulikuwa wapi sasa?..hivi ushaiona paper ya 2013 kweli mkuu,tusiongee tu kinazi..paper ya mwaka jana ilikuwa kama unasoma physics na unaelewa unachokisoma lazima ufaulu,same applies kwa pepa ya 2014,2015
 
Mziki wa Advance ni mziki mwingine mkuu acha kabisaaaa
Chemistry ziko topics 4 tu lakini zinakutoa jasho
Ukigusa physics ndo hatareee
Ukija Bios bado vyura,panya na mende wanakudai dissection
Ukizunguka kidogo mara hibiscus flowers.
Ukigeuka pembeni kuna biological sciences(BS), kuna Chandi zinakusubiri, mara kuna Mzumbe Review Chemistry
Jamaa yako anatoka Dar anakuja na kitini cha Mbuga Organic Chemistry.
Lazima udateeee.


Nakushauri usipoteze time huko ukishaona mauza uza sepa ingia vyuo vya afya piga kitabu pata cha kufanya then jiendeleze kufikia malengo yako.

Ushauri wangu ni bure kabisa ila ukipuuza iko siku utakumbuka muda uliopoteza ikiwa umeshaona mambo ni tight
[HASHTAG]#facts[/HASHTAG]
 
Twende taratibu: Hebu funguka ni nini hasa kinakupa uoga?!
Kinachonipa uoga nasoma sana na nina elewa na maswali nasolve mpaka nafurahia but since nikifika point ya mtihani duuuh...naishiwa nguvu hapa may nimepifa mock form five nimetoka na div 4 ya mwisho sasa naogopa kupotea form six
 
Pole sana Mkuu, Naona umetumia muda mwingi kabla ya kuja na hayo mawazo.

Sijui nikushaurije! Ungekuwa ndo unaanza ningekwambia ujaribu Comb ya CBG.

AU Fanya hivi, Omba Diploma za Afya (CO,PHARM,RADIOLOGY au LAB)

Ukipata ndo uanze kufikiria.
Huko dip za afya sio powa gpa 3, soma kozi za biashara ukimaliza jiajiri
 
Hamna kitu kirahis. PCB inaonekana ngumu sababu ndio kombi yenye masomo mengi zaidi. Kaza msuli hata HKL wapo wanaofeli. Best wishes
Akaze msuli atakazwa yeye sasa
 
Pole sana mkuu...
Mimi ni mmoja wahanga wa PCB... Kiukweli hiyo comb kama inakushinda achana nayo maana huko form six ndo usiseme... Namshukur Mungu Kwa kumaliza salama na kupasua vizur....
Ni swala la mda tuu...
 
Since nimeingia advance sijawahi kupata zaidi ya 50marks kwenye chem&phys zaid napataga kwa bios isitoshe mtihani wangu wa annul form five nimepata zero ffs respectively kwa pcb sasa nimekata tamaa kabisa nakuona hakuna ninachofanya zaidi ys kwenda kuzungusha form six 2018..hivyo rasmi nahitaji kuongea ba wazazi nitafute alternative ways ya kwenda collage nikachuke course nyingine

N.B sio kwamba sisomi nasoma tena sana ila sielewi kwanini inakuwa hivi
-pia o level nilifaulu vizuri tu kwa CCA in PCB
Retired mpe viwango vya ufaulu form six.
 
Back
Top Bottom