muoga wa jf
Senior Member
- Jun 27, 2016
- 198
- 225
- Thread starter
- #221
MREJESHO...
Wakuu kwa sasa nimerudi baada ya miaka kadhaa naomba nilete mrejesho.
Kiukweli sikuweza kuendelea na advance pcb nikaamua kwenda diploma ya afya kwa course ya Nursing and Midwifery,nikagraduate mwaka 2020.
Baada ya hapo nimeweza kufanya kazi hospital mbili moja dispensary dar na nyingine mkoani Iringa hospitali ya mkoa.
Kwa sasa Tangu mwaka jana niko mona ya shirika kubwa la afya nikifanya kazi mbalimbali katika project zinazohusiana na research.
Hivyo sijajutia uamuzi nilioufanya kama itampendeza Mungu mwaka huu,ntarudi kusoma bachelor ya physiotherapy Muhas au natafuta scholarship nikasome Public health bachelor nje.
Asanteni sana.
Narudi kwenye id yangu mpya...
Wakuu kwa sasa nimerudi baada ya miaka kadhaa naomba nilete mrejesho.
Kiukweli sikuweza kuendelea na advance pcb nikaamua kwenda diploma ya afya kwa course ya Nursing and Midwifery,nikagraduate mwaka 2020.
Baada ya hapo nimeweza kufanya kazi hospital mbili moja dispensary dar na nyingine mkoani Iringa hospitali ya mkoa.
Kwa sasa Tangu mwaka jana niko mona ya shirika kubwa la afya nikifanya kazi mbalimbali katika project zinazohusiana na research.
Hivyo sijajutia uamuzi nilioufanya kama itampendeza Mungu mwaka huu,ntarudi kusoma bachelor ya physiotherapy Muhas au natafuta scholarship nikasome Public health bachelor nje.
Asanteni sana.
Narudi kwenye id yangu mpya...