Kuna jambo linaniumiza Kichwa sana.
Baba yangu alikufa 2014, babu yangu(baba wa baba yangu) akafa 2021.
Inasadikika muuaji ni mwanafamilia mshirikina; lkn hapa nataka kuleta hoja nisaidike.
Babu aliacha mali nyingi, mshukiwa amejichukulia mamlaka ya kujigawia mali za babu na kumpa yeyote anayemtaka sehem ya mali hizo.
Mimi nilipojaribu kuhoji niliambiwa nikae pembeni maana hiyo si familia yangu. Je, kwa kuwa baba yangu ni miongoni mwa wanufaika wa mali za baba yake, naweza kwenda mahakaman kumfungulia mashtaka baba mdogo?
Hakuna hata mmoja kati ya ndugu zake anayethubutu kumzungumzia kutokana na hofu waliyonayo, anaogopwa sana kwa ushirikina!
Baba yangu alikufa 2014, babu yangu(baba wa baba yangu) akafa 2021.
Inasadikika muuaji ni mwanafamilia mshirikina; lkn hapa nataka kuleta hoja nisaidike.
Babu aliacha mali nyingi, mshukiwa amejichukulia mamlaka ya kujigawia mali za babu na kumpa yeyote anayemtaka sehem ya mali hizo.
Mimi nilipojaribu kuhoji niliambiwa nikae pembeni maana hiyo si familia yangu. Je, kwa kuwa baba yangu ni miongoni mwa wanufaika wa mali za baba yake, naweza kwenda mahakaman kumfungulia mashtaka baba mdogo?
Hakuna hata mmoja kati ya ndugu zake anayethubutu kumzungumzia kutokana na hofu waliyonayo, anaogopwa sana kwa ushirikina!