Nataka kwenda kuchora Tatoo

Nataka kwenda kuchora Tatoo

Kama watu wanaojielewa kama rubii wakiniruhusu nitakuonyesha ambavyo ulivyo mtu mzima ila akili zako aliyejuu ndiye anajua. Usisahau ulianza kuonyesha PM wewe na HR666 mlivyokuwa mnaombana, ukatueleza jinsi mume wako alivyotenguka kiuno, hukusita kutueleza unavyotaka kumfukuza mama mkwe ila ulinikosha ulivyosema wewe ni mtoto uliyezaliwa Tanga. Nakumbuka nilimuomba Sky Eclat asaidie wa kunyumba na nikamuomba pia mama wa shoka hapa JF NIMPENDENANI akusaidie. Mama hizi tatoo huwezi kuchora wakati una watoto (huo ni ulimbukeni na inaonyesha mumeo kiuno hakijapona unatafuta). Nitaendelea baada ya kukamua ng'ombe wa boss
watanzania bwana kwa kukatishana tamaa!
Kwahiyo mwanamke ukizaa na thamini yako inakwisha kwa kua una watoto wasi huwezi kupata unachokipend! Teh teh teh Mimi hilo siamini hata kidogo maana with my 3kids sijawahi kikosa ninachokipenda kwa ajili yao kikubwa huwa naongeza tu juhudi kukifikia
Hiyo ya HR666 Off course yeyote atayeniletea pm za kishenzi sitamvumilia,wengine tupo hapa si kwa ajili ya kutongozwa tumekuja ku socialize na jamii zetu kama moja ya faida ya mtandao.
Kikubwa elewa sitafuti bwana,nna mume na amenitoa mbali sana,aliponitoa hata wewe huwezi hivyo hata nikimuandika hapa simuandiki kwa ubaya maana thamani yake naijua mie kama yeye anavyoijua yangu,na zaidi ya yote tupo hapa kujifunza na Ku share life experience.
Shukrani sana kwa kunielekeza kwa huyo Mtanga mwenzangu ila jua hata yeye hajakamilika,ana madhaifu na makosa yake kama binadamu NASUBURI VIBOKO VYA M/MUNGU vya binaadam nishavizoea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
watanzania bwana kwa kukatishana tamaa!
Kwahiyo mwanamke ukizaa na thamini yako inakwisha kwa kua una watoto wasi huwezi kupata unachokipend! Teh teh teh Mimi hilo siamini hata kidogo maana with my 3kids sijawahi kikosa ninachokipenda kwa ajili yao kikubwa huwa naongeza tu juhudi kukifikia
Hiyo ya HR666 Off course yeyote atayeniletea pm za kishenzi sitamvumilia,wengine tupo hapa si kwa ajili ya kutongozwa tumekuja ku socialize na jamii zetu kama moja ya faida ya mtandao.
Kikubwa elewa sitafuti bwana,nna mume na amenitoa mbali sana,aliponitoa hata wewe huwezi hivyo hata nikimuandika hapa simuandiki kwa ubaya maana thamani yake naijua mie kama yeye anavyoijua yangu,na zaidi ya yote tupo hapa kujifunza na Ku share life experience.
Shukrani sana kwa kunielekeza kwa huyo Mtanga mwenzangu ila jua hata yeye hajakamilika,ana madhaifu na makosa yake kama binadamu NASUBURI VIBOKO VYA M/MUNGU vya binaadam nishavizoea

Sent using Jamii Forums mobile app
We dada usijibu kwa kibri hivoo jamann,,kama umeamua maamuzi yako fine na unapohusiwa just sema umeskia..lakini usiseme "unasubiri viboko vya Mungu" tena with caps kabisa..hakika adhabu za Allah ni kali mnoooo...
Usifananishe na hzi za duniani,kwake kuna starehe duniani hazijawahi onekana na kwake kuna adhabu duniani hazijawahi hata skikaa..
Tusiwe wepesi kunyanyua ndimi zetu tunapolinganiwa maneno ya Allah..its better ukae tu kimya au potezea usijibu.
 
We dada usijibu kwa kibri hivoo jamann,,kama umeamua maamuzi yako fine na unapohusiwa just sema umeskia..lakini usiseme "unasubiri viboko vya Mungu" tena with caps kabisa..hakika adhabu za Allah ni kali mnoooo...
Usifananishe na hzi za duniani,kwake kuna starehe duniani hazijawahi onekana na kwake kuna adhabu duniani hazijawahi hata skikaa..
Tusiwe wepesi kunyanyua ndimi zetu tunapolinganiwa maneno ya Allah..its better ukae tu kimya au potezea usijibu.
Hivi unadhani visomo mlivyovisoma nyie madrasa mie sikusoma!? Au dhambi kwangu mie lakini nyie mwafanya machafu yenu huko na kuna watu ni vinara kabisa mpaka wa kutukana matusi ila hamuoni kua ni dhambi? Kama viboko nitachapwa kwa dhambi hiyo moja tu basi navingojea,sina jeuri na mtu na kushukuru huja baada ya kupata unalolihitaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuomba huyo mtu muhimu awe mama yako maana najua hawezi kuja muhimu zaidi yake.
 
Kama watu wanaojielewa kama rubii wakiniruhusu nitakuonyesha ambavyo ulivyo mtu mzima ila akili zako aliyejuu ndiye anajua. Usisahau ulianza kuonyesha PM wewe na HR666 mlivyokuwa mnaombana, ukatueleza jinsi mume wako alivyotenguka kiuno, hukusita kutueleza unavyotaka kumfukuza mama mkwe ila ulinikosha ulivyosema wewe ni mtoto uliyezaliwa Tanga. Nakumbuka nilimuomba Sky Eclat asaidie wa kunyumba na nikamuomba pia mama wa shoka hapa JF NIMPENDENANI akusaidie. Mama hizi tatoo huwezi kuchora wakati una watoto (huo ni ulimbukeni na inaonyesha mumeo kiuno hakijapona unatafuta). Nitaendelea baada ya kukamua ng'ombe wa boss
Kwanza amuulize Shilole na Nuhu Mziwanda waliishia wapi na tattoo zao?
 
Kwanza amuulize Shilole na Nuhu Mziwanda waliishia wapi na tattoo zao?
Hivi wewe wa kunifananisha maisha yangu mie na hao watu?
Hamjajua nataka niandke nn au nimuandike nani tayari mmeshakuja kuniletea na kifano ,ngoja tuseme ni kweli labda nataka kumuandika baba watoto,lakini mfahamu sitajutia kumuandika kwake hata niachwe na talaka zote 3 kwa wakati mmoja maana alichonipa hamkijui nyie why mng'ang'ane kua nitajutia!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wewe wa kunifananisha maisha yangu mie na hao watu?
Hamjajua nataka niandke nn au nimuandike nani tayari mmeshakuja kuniletea na kifano ,ngoja tuseme ni kweli labda nataka kumuandika baba watoto,lakini mfahamu sitajutia kumuandika kwake hata niachwe na talaka zote 3 kwa wakati mmoja maana alichonipa hamkijui nyie why mng'ang'ane kua nitajutia!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry mummy but it looks like you have already made up ur decision, all the best
 
Kwanza amuulize Shilole na Nuhu Mziwanda waliishia wapi na tattoo zao?
Itabidi tumfunze huyu anawatieni aibu. Kesho atakuja kulalama ati anataka kuifuta. JF si pahala kama insta au Facebook au badoo hapa tunakanyana na kurekebishana tu. Nikirudisha Ng'ombe wa boss nitampa somo
 
Hivi unadhani visomo mlivyovisoma nyie madrasa mie sikusoma!? Au dhambi kwangu mie lakini nyie mwafanya machafu yenu huko na kuna watu ni vinara kabisa mpaka wa kutukana matusi ila hamuoni kua ni dhambi? Kama viboko nitachapwa kwa dhambi hiyo moja tu basi navingojea,sina jeuri na mtu na kushukuru huja baada ya kupata unalolihitaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau dhambi ya kumfukuza mama mkwe wako!
 
Hivi wewe wa kunifananisha maisha yangu mie na hao watu?
Hamjajua nataka niandke nn au nimuandike nani tayari mmeshakuja kuniletea na kifano ,ngoja tuseme ni kweli labda nataka kumuandika baba watoto,lakini mfahamu sitajutia kumuandika kwake hata niachwe na talaka zote 3 kwa wakati mmoja maana alichonipa hamkijui nyie why mng'ang'ane kua nitajutia!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo unayetaka kumuandika kama si hr666 basi ni Mchepuko mwingine. Katu hawezi kuwa mumeo maana aliteguka kiuno na kamchezo hukapati kutoka kwake.
 
Itabidi tumfunze huyu anawatieni aibu. Kesho atakuja kulalama ati anataka kuifuta. JF si pahala kama insta au Facebook au badoo hapa tunakanyana na kurekebishana tu. Nikirudisha Ng'ombe wa boss nitampa somo
Utajisumbua tu na kwa bahati mbaya hujui ninachotaka na ninachopata! Endelea kuchunga ng'ombe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua ni haramu lakini nahisi nataka hicho kitu,nataka kuweka alama ya ukumbusho wa jina la mtu muhimu sana kwangu!! Hivyo nimevutiwa kwenda kuchora sehemu ya mwili wangu (mkononi) kama ishara yeye kuishi daima mwilini mwangu.
Wazoefu naomba mnipe location ya fundi mzuri wa Tatoo na approximation ya gharama zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_20170729_110452.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom