Nataka kwenda kuchora Tatoo

Nataka kwenda kuchora Tatoo

Ukichora ya bae wako pale chini kabisa utakuwa umemtendea haki asee. Begani hakuna mvuto hata kidogo ujuwe, halafu ukichora ya 'uziguani' mtakuwa mnaona wawili tu na bae wako.

Can't imagine myself screwing a lady with demonic tattoos, sounds romantic
Hahaaa nacheka sana na mbwembwe zako za umaliziaji msg
 
Mambo ya Walawi 19:28
"Msichanje chale yoyote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi Bwana".
Yes, Heaven Received, on point

Kwanza tattoo zilikuwa zinawekwa kwa soldiers, maana its a symbol for a warrior. To me, a woman should be feminine. Having a tattoo gives me a wrong impression, that you are trying to look muscular.

My advice, LadyAj, na jina lako lilivyo zuri, nunua saa mbili, brand za maana, Rado, Rolex, Omega alafu waambie waandike majina yenu. Trust me, its much better. LadyAJ



-callmeGhost
 
Hivi unadhani visomo mlivyovisoma nyie madrasa mie sikusoma!? Au dhambi kwangu mie lakini nyie mwafanya machafu yenu huko na kuna watu ni vinara kabisa mpaka wa kutukana matusi ila hamuoni kua ni dhambi? Kama viboko nitachapwa kwa dhambi hiyo moja tu basi navingojea,sina jeuri na mtu na kushukuru huja baada ya kupata unalolihitaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Dhambi tunazo ila hatuzitangazi wala kuzinadi..
Maa'ssalam
 
Yes, Heaven Received, on point

Kwanza tattoo zilikuwa zinawekwa kwa soldiers, maana its a symbol for a warrior. To me, a woman should be feminine. Having a tattoo gives me a wrong impression, that you are trying to look muscular.

My advice, LadyAj, na jina lako lilivyo zuri, nunua saa mbili, brand za maana, Rado, Rolex, Omega alafu waambie waandike majina yenu. Trust me, its much better. LadyAJ



-callmeGhost
Angalau umenipa m badala,watu wanaongea sana humu as if hii kwangu itakua dhambi ya kwanza tangu nizaliwe au kwao itakua dhambi ya kwanza kuisikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usikariri kua kila binadamu ana matatizo na mapenzi,alafu nielewe vizuri kwenye Uzi wangu sikuomba ushauri,mengine niachie mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa vizuri sana, na ni zaidi ya unavyofikiria.

Pamoja ya kuwa hukuomba Ushauri.

Nilichojaribu kukuambia ni kwamba achana na hiyo kitu, haina mpango au kwa lugha nyingine usithubutu.

Wenzako walonazo wanajuta.

Kwasasa kwakuwa una shauku nayo utaona haina tatizo, lakini baadae utakapokuwa nayo ndio utaona ya kuwa haina maana.

Halafu nikija kwenye Mapenzi, kwa huu Ulimwengu tuliokuwa nao!

Labda Malaika peke yake.

Hakuna Mapenzi yanayokosa misukosuko, nakataa.

Hakuna kitu kama hicho
 
Nimekuelewa vizuri sana, na ni zaidi ya unavyofikiria.

Pamoja ya kuwa hukuomba Ushauri.

Nilichojaribu kukuambia ni kwamba achana na hiyo kitu, haina mpango au kwa lugha nyingine usithubutu.

Wenzako walonazo wanajuta.

Kwasasa kwakuwa una shauku nayo utaona haina tatizo, lakini baadae utakapokuwa nayo ndio utaona ya kuwa haina maana.

Halafu nikija kwenye Mapenzi, kwa huu Ulimwengu tuliokuwa nao!

Labda Malaika peke yake.

Hakuna Mapenzi yanayokosa misukosuko, nakataa.

Hakuna kitu kama hicho
Maisha yangu hayafanani na mtu yeyote,mume niliyenae ana matatizo yake kama binadamu na wanaume wengine ila Mimi nampendea usikivu wake,kwani kuna tatizo Mimi kuchora sentimita chache jina la baba watoto wangu? Sidhani alivyonipa hata Leo akiniacha kwa talaka 3 si mwili tu ndio utamkumbuka Bali hata vitu vya thamani alivyonikusanyia mkewe, nampenda na natamani nimchore hata mawinguni sema uwezo huo sina,acha aishi begani mwangu kwa watoto wa 3 hawa nilionao akiondoka yeye sifikirii kuolewa tena!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha yangu hayafanani na mtu yeyote,mume niliyenae ana matatizo yake kama binadamu na wanaume wengine ila Mimi nampendea usikivu wake,kwani kuna tatizo Mimi kuchora sentimita chache jina la baba watoto wangu? Sidhani alivyonipa hata Leo akiniacha kwa talaka 3 si mwili tu ndio utamkumbuka Bali hata vitu vya thamani alivyonikusanyia mkewe, nampenda na natamani nimchore hata mawinguni sema uwezo huo sina,acha aishi begani mwangu kwa watoto wa 3 hawa nilionao akiondoka yeye sifikirii kuolewa tena!

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya basi LadyAJ.

Mimi sitokuwa tayari usifikirie kuolewa tena.

Ntakuwa tayari kuwa na wewe Bega kwa Bega.

Na ntakuOa wewe kwa ajili ya kutekeleza Suna
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom