Nataka kwenda kuchora Tatoo

Nataka kwenda kuchora Tatoo

Duuh..Yashakua hayo..Haya bana...Ila najua hao ni wafitini tu ndo wamekujaza maneno
Kwani hujaoa kweli bby? Maana nimeona shemeji nyingi sana humu ndo maana nikaamini maneno niliyoambiwa.
 
Najua ni haramu lakini nahisi nataka hicho kitu,nataka kuweka alama ya ukumbusho wa jina la mtu muhimu sana kwangu!! Hivyo nimevutiwa kwenda kuchora sehemu ya mwili wangu (mkononi) kama ishara yeye kuishi daima mwilini mwangu.
Wazoefu naomba mnipe location ya fundi mzuri wa Tatoo na approximation ya gharama zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi nakufahamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua ni haramu lakini nahisi nataka hicho kitu,nataka kuweka alama ya ukumbusho wa jina la mtu muhimu sana kwangu!! Hivyo nimevutiwa kwenda kuchora sehemu ya mwili wangu (mkononi) kama ishara yeye kuishi daima mwilini mwangu.
Wazoefu naomba mnipe location ya fundi mzuri wa Tatoo na approximation ya gharama zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh hizo nazo akili kweli unachafua mwili wako kisa ukumbusho unaoweza kuutunza kichwani au nataka uonekane msanii.Na kma ni muislam ni haramu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua ni haramu lakini nahisi nataka hicho kitu,nataka kuweka alama ya ukumbusho wa jina la mtu muhimu sana kwangu!! Hivyo nimevutiwa kwenda kuchora sehemu ya mwili wangu (mkononi) kama ishara yeye kuishi daima mwilini mwangu.
Wazoefu naomba mnipe location ya fundi mzuri wa Tatoo na approximation ya gharama zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chora matakonii utamkumbuka zaidi ukienda kunya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi tattoo aisee Mh! kuna watu wameanza kuweka mpaka usoni! Na wengine miili yao imejaa tattoo kila sehemu ya miili yao hata kupoteza ile rangi ya miili yao, lakini kuna baadhi zinapendeza mno hasa kwa warembo zilizowekwa kwa utalaamu mkubwa.

Mmmh mi sijawahi kuona tattoo inapendeza. Sijui sababu nishajua hairuhusiwi basi akili imegoma kabisa kuona kama inapendeza popote pale.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Achana na hiyo mambo.

Watu wengi waliojichora, nimegundua wengi wanajuta na wanataka wazifute.

Ni mambo ya mpito tu.

Huyo Mtu muhimu kwako kama ni Mpenzi, nakushauri usipoteze muda wako.

Mapenzi yenyewe haya tuliyonayo kudumu ni ngumu sana
 
Najua ni haramu lakini nahisi nataka hicho kitu,nataka kuweka alama ya ukumbusho wa jina la mtu muhimu sana kwangu!! Hivyo nimevutiwa kwenda kuchora sehemu ya mwili wangu (mkononi) kama ishara yeye kuishi daima mwilini mwangu.
Wazoefu naomba mnipe location ya fundi mzuri wa Tatoo na approximation ya gharama zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo dam bado ya moto unamkumbuka huyo MTU
Siku ukija kumkinai sasa,,,itabidi uandae pasi ya mkaa kabxaaa kulifuta hilo jina

Sent from Calculator Phone vesion007
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom