Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,894
- 31,686
Wewe ni malaya ,na hapa najiandaa kukuanzishia thread nimekufatilia muda mrefu sana na mauchafu yako yote yale nitayanika
Una roho mbaya kama shetani.
Wewe ni malaya ,na hapa najiandaa kukuanzishia thread nimekufatilia muda mrefu sana na mauchafu yako yote yale nitayanika
Haha.... basi hapo utaipenda...
Waja acheni unafiki,mbona vipo vingi tu binaadam mnavyovipenda na kuvitenda ambavyo vipo kinyume na mafundisho ya Allah!? Kila mtu apambane na maisha yake ,siku ya mwisho hautaulizwa Mwanakheri aliomba ushauri wa TatooChora mama, tena chora tu tattoo za kutosha. Allah ametupa utashi, lakini ukiutumia utashi huo bila yeye mwisho ndio kama hivi.
Wenye location please help her, ndipo dunia ilipofikia sasa, what can we do!!
duuhhh!samahani dada angu sirudii tena!!Unaogopa dhambi ya Tatoo tu kwa Mungu!?![]()
mnanichekesha sana ila kuzini mnazini,pombe mnakunywa,matusi mnatukana,uongo mna nena ila Tatoo tu ndo dhambi ya kuogopewa kwa Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa umri wangu kuajiliwa pengine labda nitumbuliwe ,hata hivyo sina lengo la kuchora mchoro mkubwa au wa wazi ni kiji mstari tu cha maneno machache,shukrani sana kwa locationNenda posta (Dsm), kuna mgahawa umejificha sana unaitwa 'Azuri' kwa nyuma ya huo mgahawa upande wa mashariki kuna jamaa huwa anachora Tattoo nzur sana,tatzo tattoo zake hawez kufuta mtu mwingine tofauti na yeye.But again you have to think twice and intellectually,fikiria ukitaka kuajiriwa na shirika au kampuni flani ambalo hawataki uwe na tattoo ktk sehem yoyote ya mwili...what are u gonna do?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mimi ntaenda chora ya 18th March kabla sijaanza kuchora majina ya watoto wetu..Itabidi nikaongeze nyingine ya July 05 kukulipa deni la kutokusema... HBD.
TehNa mimi ntaenda chora ya 18th March kabla sijaanza kuchora majina ya watoto wetu..
Binafsi nimesisitiza wenye location wakupe ili ukamuenzi Abel kwenye bega, kuna ubaya hapo?Waja acheni unafiki,mbona vipo vingi tu binaadam mnavyovipenda na kuvitenda ambacho vipo kinyume na mafundisho ya Allah!? Kina mtu apambane na maisha yake ,siku ya mwisho hautaulizwa Mwanakheri aliomba ushauri wa Tatoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua ni haramu lakini nahisi nataka hicho kitu,nataka kuweka alama ya ukumbusho wa jina la mtu muhimu sana kwangu!! Hivyo nimevutiwa kwenda kuchora sehemu ya mwili wangu (mkononi) kama ishara yeye kuishi daima mwilini mwangu.
Wazoefu naomba mnipe location ya fundi mzuri wa Tatoo na approximation ya gharama zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utachora tattoo sehemu gani ya mwili?Ngoja nikutafutie contact za huyu kaka wa mwananyamala nikupatie.
Hamna tatizo bby, nikimpeleka kuchora na mimi ntachora pia.Teh
Uambatane na LadyAJ basi
Napenda mkononi ila maisha hayaniruhusu kuchora tattoo inayoonekana kwa sasa hivi. Naendelea kuvuta vuta muda kwanza.Wewe utachora tattoo sehemu gani ya mwili?
Ukichora ya bae wako pale chini kabisa utakuwa umemtendea haki asee. Begani hakuna mvuto hata kidogo ujuwe, halafu ukichora ya 'uziguani' mtakuwa mnaona wawili tu na bae wako.Napenda mkononi ila maisha hayaniruhusu kuchora tattoo inayoonekana kwa sasa hivi. Naendelea kuvuta vuta muda kwanza.

Asante nitashukuru Ukinianzishia Thread ila nitapangua yote maana sijawahi andika uongo ila umeshindwa tu kunielewa kwa kifupi tuWewe ni malaya ,na hapa najiandaa kukuanzishia thread nimekufatilia muda mrefu sana na mauchafu yako yote yale nitayanika
Una roho mbaya kama shetani.
Ya bae wangu siko tayari kutake hiyo risk, bae ntakua namchora kwa piko tu ili wakati wa mambo ya uziguani awe anaiona kwa nyuma nini.Ukichora ya bae wako pale chini kabisa utakuwa umemtendea haki asee. Begani hakuna mvuto hata kidogo ujuwe, halafu ukichora ya 'uziguani' mtakuwa mnaona wawili tu na bae wako.![]()
Can't imagine myself screwing a lady with demonic tattoos, sounds romantic![]()
![]()
Sasa haka katattoo cha Kuruthumu nakafanyaje Douta?...Kwamba Mimi na pepo ndo basi tena??Mambo ya Walawi 19:28
"Msichanje chale yoyote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi Bwana".
Nmekupenda buree..usihalalishe halali kua haramu ili kufurahisha binadamu
am sorry lakini ila tunaambiwa kuna maisha ya barzakh...
Nichore na Mimi...Naahidi sitakuangushaBora umchore mwanao au wazazi wako, hawa ndugu zetu wa kiume hawakawii kukugeuka baadae ukaja jifuta na pasi hiyi tattoo.
Kuna mmoja yuko mwananyamala manjunju/posta kama unashuka kuelekea mwananyamala B shule ya msingi. Nimeona kawachora rafiki zangu watatu vizuri sana na bei rahisi tu.
Siku nikipata ujasiri nitaenda kuchora jina la my son..